Naombeni ushauri wenu wa mawazo wakuu mara kadhaa nimekuja humu kuomba ushauri na msaada kwa yeyote anaejua dawa ya kutibu vidonda vya tumbo lakini haikusaidia dawa nilitumia mno Ila sasa nahisi kukata tamaa ya kuishi mana kifua kinasumbua balaa hosptal wala hakionekani
Wakuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.