Ndicho nilichomaanisha
Nimewaza hili kutokana na mgogoro wa mto nile.Kwa mantiki hiyo hata nile wanaweza hiyo kitu wakapunguza mgogoro.asante kwa ufafanuzi
Wadau habar.
Naomba kuuliza hiv katika project za hydroelectric power haiwezekani maji kuyarecycle ili yaendelee kutumika na kulinda vyanzo vingine vya matumiz ya maji?
Hahahaha.ni sawa na mtu anayenuka mavi hata ukimsafisha vipi hasafishiki.watanzania saiz wako radhi kupigia kura jiwe lkn c mapinduz.so hata kama mseme nn no one like him compare to magufuli
Cjaona hoja hii kama inamashiko.ccm na lowasa nani anapesa.nilifanya tafiti binafs nikagundua hawa watu wameshalishwa sumu na ccm wakaamini lowasa anamapesa kuliko hazina bt ni ujinga kuamini hivyo.hebu tujiulize tangu aanze kugawa hizo pesa katumia kiac gani na amezitoa wapi au anazitengeneza...
Hata kama ni kweli anahicho kipawa ila c wakati muafaka wa kukionesha kwan kutokana na matatizo tuliyonayo tanzania tunahitaji kiongozi ambae ataonesha kipaji kimoja tu cha kutatua kero zilizoshindwa kutatuliwa na watawala walotangulia ili tuweze kukomboa kizaz chetu na vijavyo pia coz Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.