hero de mmar
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 470
- 108
"Upinzani wa kweli utatoka CCM" Nyerere.
"Watu wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM, watayatafuta nje ya CCM" Nyerere.
Ni ukweli usiopingika kwamba mwaka 2015 ni mwaka alioutabiri baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Mtake msitake mtadondoka.
Escrow itawatafuna na muhusika ni Mwenyekiti wenu, Richmond Kinara ni Mwenyekiti wenu japo mlimtoa kafara EL.
Usisahau kuweka na hii 'mkimwona mtu anakimbilia sana Ikulu mwogopeni kama ukoma ' nyerere