Recent content by Rammyq

  1. Rammyq

    'Wasomi' Wanawaachia Watoto Wao Umaskini Kisa Kulisha Ndugu Wenye Watu Wazima Wavivu?

    Jinsi kaka zangu walivyonisaidia halafu nijipate nisisaidie watoto wake? Huo umaskini nao acha uniue tu,SIWEZI
  2. Rammyq

    Kuipenya Law School of Tanzania (LST) – Hizi Ndizo “Code” Zilizoniokoa, Huenda Zikakuokoa Pia

    Abdul Said Naumanga una maoni Gani juu ya makarani walioapishwa Leo kuwa mawakili eti tu kwa sababu Wana degree za Sheria bila kupita law school Wala kufanya bar exams? Tutegemee nini baada ya makarani kupewa uwakili wa kwenye sahani ili tu wawe mahakimu? Tutegemee hukumu za namna gani? Je...
  3. Rammyq

    DOKEZO Shinyanga: Kuna Wafanyakazi wa Idara ya Ardhi wanatengeneza mazingira ya rushwa waziwazi

    Hapo ukitoa 50K unapata hiyo control number unaipata siku hiyo hiyo wenyewe wanaiita facilitation fee..........wanatumia gap la waombaji kuwa wengi kujinufaisha, nina uzoefu nao
  4. Rammyq

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu najaribu kufungua account ya Ajira portal ila Kila nikiweka NIDA inazunguka tu then inarud plain, tatizo lnaweza kuwa nini
  5. Rammyq

    Kama kweli Simba mnaenda kugomea hii Derby, mtakuwa mmeigomea Mamlaka kuu ya Nchi

    Nyuma mwiko wametengeneza hoja kwenye kitabu kikubwa
  6. Rammyq

    Vijana pitieni TAUSI portal mtakuja kunishukuru

    Baada ya kukamilisha malipo, kinachofuata ni nini wakuu
  7. Rammyq

    Mliotoboa Law School Mlifanyaje Wenzangu?

    Hicho lazima kiwe kimeo cha civil
  8. Rammyq

    Haya mnayoyaona ya wanachuo kupigania bwana ni matokeo ya kutegemea G.PA za" chupi"

    Good things ni kwamba wazazi nao wanachangia....Kuna dada mmoja anasoma MUCe Ile kapata tu admission mama na dada ake wakaanza kumuusia ajitahidi mpaka anamaliza chuo awe amepata mtu anaeeleweka (Financial Stable) ili akimaliza asirudi nyumbani.....imagine such mentality
  9. Rammyq

    Mbona ulaya hawalalamikii hizi Pitch feeling

    Rahisi tu, kama sio muhimu kanuni hiyo iondolewe,wanachofanya Simba ni kusimamia kanuni jambo ambalo naliunga mkono
  10. Rammyq

    Vijana pitieni TAUSI portal mtakuja kunishukuru

    Napata tabu sana kutengeneza hii account...... muongozo tafadhali
  11. Rammyq

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kikaguzi hapo fedha uliyobajetia uweke kwenye Devo fund umetumia kulipia deni la mwaka wa fedha uliopita......kihasibu haijakaa sawa na usipomla utapata hoja za ukaguzi
  12. Rammyq

    Rafiki yangu anataka kuahirisha kuoa Baada ya kutumiwa video ya ngono ya mke wake mtarajiwa!

    Abadili mchumba then aedit kadi za harusi.... mengine yabaki kama yalivyo
Back
Top Bottom