Abdul Said Naumanga una maoni Gani juu ya makarani walioapishwa Leo kuwa mawakili eti tu kwa sababu Wana degree za Sheria bila kupita law school Wala kufanya bar exams?
Tutegemee nini baada ya makarani kupewa uwakili wa kwenye sahani ili tu wawe mahakimu? Tutegemee hukumu za namna gani? Je...
Hapo ukitoa 50K unapata hiyo control number unaipata siku hiyo hiyo wenyewe wanaiita facilitation fee..........wanatumia gap la waombaji kuwa wengi kujinufaisha, nina uzoefu nao
Good things ni kwamba wazazi nao wanachangia....Kuna dada mmoja anasoma MUCe Ile kapata tu admission mama na dada ake wakaanza kumuusia ajitahidi mpaka anamaliza chuo awe amepata mtu anaeeleweka (Financial Stable) ili akimaliza asirudi nyumbani.....imagine such mentality
Kikaguzi hapo fedha uliyobajetia uweke kwenye Devo fund umetumia kulipia deni la mwaka wa fedha uliopita......kihasibu haijakaa sawa na usipomla utapata hoja za ukaguzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.