Ni kazi ngumu sana kuficha ukweli, waacheni watanzania wajue ukweli nao utawaweka huru. Ukweli ni kwamba watu wameichoka CCM, nawaomba CCM waache kuwashobokea watanzania
Hivi ni kwanin nilichelewa kucoment ila nawapa big up wadau wangu kwa kumpa vidonge vyake huyo anayejifanya anajua kesi, Ataongozwa tu na LOWASA asubir Oct 25
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.