Recent content by Ramadhani Dugange

  1. R

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Nchi zenye Waislam wengi Ukristo hupigwa vita usiwepo wakati Nchi iliyojaa Ukristo kuna uhuru wa kuabudu?

    Hiyo syo kweli uislamu ndo dini inayojali watu kuwa na aman na kutunza heshima zao hao unaoona wanalipua makanisa wameuacha uislamu ulio wa swa na wanafuata matamanio yao tu na hakuna katika nchi za kikristo kuna uhuru wa kuabudu kwan wao ndo wenye kuwadharirisha waislamu na kuwanyima uhuru wao...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa

    Kaka ALLAH akuongoze uislamu ndiyo dini ya haq na ya sawa
  3. R

    JamiiForums Tanzania Huwa unakabili vipi changamoto zinazokupata maishani?

    Napenda uniambie kwenye comment hapo chini, je huwa unachukua hatua gani au huwa unafanya nini pindi unapokutana na changamoto au tatizo lolote?
  4. R

    JamiiForums Tanzania Kipi ni sababu ya kupatikana kingine?

    Ewe msomaj wa JF naomba uniambie kati ya furaha na pesa kipi ni sababu ya kupatikana kwa mwenzake? Kwa maana je, furaha ni sababu ya kupata pesa au pesa ni sababu ya kupata furaha? Naomba maoni na hoja zako.
  5. R

    JamiiForums Tanzania Salamu kwa wanachama

    Sawa shukran
  6. R

    JamiiForums Tanzania Salamu kwa wanachama

    Mfano mwenye magroup gan
  7. R

    JamiiForums Tanzania Salamu kwa wanachama

    Kiukwel mm Ni mgeni naomba unielekeze namna ya kufuta Mana nimejarib lakn nkmeshindw lakin kama kuna mengine nakosea naomb unieleweshe pia
  8. R

    JamiiForums Tanzania Salamu kwa wanachama

    Naomba unielekeze kufuta mpe ndw bdo cjafaham
  9. R

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu kuanzisha Research Forum

    Siyo hao watu wanafany tafit bali ndo nafanya tafiti lakin watu wengine ni walengwa wa kukusanya taarifa kutoka kwao cjh umenielewa
  10. R

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu kuanzisha Research Forum

    Yani mm nakuwa nawaleta watu pamoja kwa kuanzisha group mfano la WhatsApp ambao ndo walengwa watakao nisaidia kupata majibu juu ya tafit husika
  11. R

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu kuanzisha Research Forum

    Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili Chuo Cha Mipango Dodoma nina nia ya dhati ya kutaka kuanzisha na baadae kuwa na JUKWAA kubwa la TAFITI Tanzania hivyo naomba mnishauri mwenzenu nifanyaje au nitumie njia gani niweze kufanikisha hilo.
  12. R

    JamiiForums Tanzania Salamu kwa wanachama

    Habari, mimi naitwa Ramadhan, ni mgeni, hivyo naomba ushirikiano wenu kama wanachama wa JamiiForums.
Back
Top Bottom