Ushauri kuhusu kuanzisha Research Forum

Ushauri kuhusu kuanzisha Research Forum

Joined
Oct 18, 2022
Posts
12
Reaction score
5
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili Chuo Cha Mipango Dodoma nina nia ya dhati ya kutaka kuanzisha na baadae kuwa na JUKWAA kubwa la TAFITI Tanzania hivyo naomba mnishauri mwenzenu nifanyaje au nitumie njia gani niweze kufanikisha hilo.
 
Mimi Ni mwanafunzi wa mwaka wa pili Chuo Cha Mipango Dodoma nina nia ya dhati ya kutaka kuanzisha na baadae kuwa na JUKWAA kubwa la TAFITI Tanzania hivyo naomba mnishauri mwenzenu nifanyaje aunitumie njia gan niweze kufanikisha hilo

Hilo jukwaa la utafiti wanakuwa watafiti tupu au inakuwaje?

Bado haujaeleweka vizuri.

Kuwaza sio tatizo , tatizo kutekeleza sio kitu cha siku moja wala wiki.
 
Hilo jukwaa la utafiti wanakuwa watafiti tupu au inakuwaje?

Bado haujaeleweka vizuri.

Kuwaza sio tatizo , tatizo kutekeleza sio kitu cha siku moja wala wiki.
Yani mm nakuwa nawaleta watu pamoja kwa kuanzisha group mfano la WhatsApp ambao ndo walengwa watakao nisaidia kupata majibu juu ya tafit husika
 
Yani mm nakuwa nawaleta watu pamoja kwa kuanzisha group mfano la WhatsApp ambao ndo walengwa watakao nisaidia kupata majibu juu ya tafit husika

Kwenye hilo jukwaa lako kunatofauti gani na group la WhatsApp?

Kama hakuna tofauti kwenye jukwaa lako atafata nini cha utofauti ambacho atakosa kwenye majukwaa mengine? Ukizingatia wewe watu hawakuamini
 
Naona unataka ufaidike na tafiti za watu then unazifanya Kama Mali yako.
Ila watu.....
Umenikumbusha kisa Cha ugomvi Kati ya Newton na Leibniz kuhusu nani aligundua mfumo mpya wa kutumia Calculus kusolve Hesabu in a simple way.
Tafiti huwa Zina hela nyingi kama ukiwasilisha proposals huko ulaya upate mfadhili.
 
Naona unataka ufaidike na tafiti za watu then unazifanya Kama Mali yako.
Ila watu.....
Umenikumbusha kisa Cha ugomvi Kati ya Newton na Leibniz kuhusu nani aligundua mfumo mpya wa kutumia Calculus kusolve Hesabu in a simple way.
Tafiti huwa Zina hela nyingi kama ukiwasilisha proposals huko ulaya upate mfadhili.
Siyo hao watu wanafany tafit bali ndo nafanya tafiti lakin watu wengine ni walengwa wa kukusanya taarifa kutoka kwao cjh umenielewa
 
Siyo hao watu wanafany tafit bali ndo nafanya tafiti lakin watu wengine ni walengwa wa kukusanya taarifa kutoka kwao cjh umenielewa
Kazi ngumu sana , mfano kuna lecture mmoja ilibidi awalipe wanafunzi wake kiasi Cha 300,000/= Ili wakusanye data za utafiti wake maana Ina umuhimu wa kumpatia heshima au pesa.
Hilo jukwaa itakuwa ngumu sana kufanikiwa maana watu watataka interest Fulani kutoka kwako kwasababu hayupo mtu atakayekuwa tayari kuchoma nauli yake, mb zake au pesa yake kukusanya data bila malipo.
Mpaka titles tu zinauzwa.
 
Back
Top Bottom