Kiukweli hizi n propaganda za kuuchafua uislam na huyo shekh ana mamlaka gani kutoa agizo hilo coz hata angekuwa shekh mkuu hawez toa tamko hilo kwa kuwa halina hoja ya msingi halafu kuhusu suala la mtume kufanya mapenz na bi Aisha ni propaganda za kumchafua Aisha nakushauri ukipata time kaa...
Tatizo utoto umejaaa ukijiona huna haja ya kuoa bac ujue wewe bado n mtoto maaana kipimo kizuri cha ukubwa ujue kuwa kuna somebody anakutegemea na hata uwe na umri wa miaka mingapi kama bado hujaona kichwan mwako kuna kautoto flan iv
Tatizo njaaa ndo zimekithiri kwa wabongo maaana kama n miezi mi3 imepita na bado wamiliki wa majengo hawana time ya kifanyia tathmini majengo yao tutakufa2 maaana Hawa wamiliki wapo na jambo moja2 kuchimba underground Ili waongeze frem kwo hili haliwezi Isha otherwise kiama kisimame
Nlishawahi shuhudia jamaa alikuwa akienda msibani alikuwa na yabia ya kutokula chakula kilicho andaliwa huku akisema mm nimekula vingi sana Sina kitu ambacho sijala siku anafariki kilipikwa chakula kingi mno watu wakazika halafu waondoka huku wakisema tumekula vingi sana kwo hiyo n kweli broo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.