Recent content by RALO

  1. RALO

    DOKEZO Fao la Kujitoa limerudishwa kisheria, kwanini NSSF hamtangazi? Kwanini mtu akitaka hela zake zote (Lump Sum) anazungushwa?

    Kwa hili wanasema watakaonufaika na hii lump sum ni wale watakaoanza kuchukua pesa zao mwaka huu na kwa wale wa miaka ya nyuma sharti uwe hujawahi chukua kwa mfumo wa 33% ila kama ulilipwa kwa mfumo huo basi unatakiwa usubiri miezi 18 ndipo ukatoe mzigo wote.
  2. RALO

    Je hili group la Telegram la Aliexpress 605 si la kitapeli?

    Ndio hao hao nenda nao kula hela yao halafu pita vile
  3. RALO

    Je hili group la Telegram la Aliexpress 605 si la kitapeli?

    Wewe kula buku 3 yao kisha sepa, wakikwambia ununue chochote usinunue
  4. RALO

    Je hili group la Telegram la Aliexpress 605 si la kitapeli?

    😃😃😃 asante mkuu kwa kunisanua
  5. RALO

    Je hili group la Telegram la Aliexpress 605 si la kitapeli?

    Mambo vipi wadau? Heri ya pasaka pili! Kuna group moja la telegram lenye hilo jina la Aliexpress 605 ambalo linatoa kazi za online hasa kuhusu bidhaa zinazopostiwa kwenye website au app ya Aliexpress ambapo kwa maelezo yao ukikamilisha kazi fulani kama labda kulike bidhaa fulani na kuiweka...
  6. RALO

    Naomba ushauri, nimezoea kuendesha automatic sasa juzi nimepata manual Vitz

    Nimecheka sana na comment za wadau, anyway manual ni kati ya gari nzuri sana na hata ukiendesha unahisi kabisa uko engaged na gari yako, binafsi sijaenda driving school hata kwa bahata mbaya ila nilijifunza auto na manual kupitia youtube na hadi sasa naendesha manual na wala sifikirii kuiacha...
  7. RALO

    Natafuta engine ya subaru legacy bsportwagon

    Picha ya gari tafadhali wengine sio wataalam wa hizo mambo ila tukiona jinsi gari ilivyo tunaweza tukachangia kitu.
  8. RALO

    Naomba ufafanuzi kuhusu hili la Clutch Master Cylinder

    Habari ya muda huu wadau, gari yangu aina ya subaru legacy manual transmission inahitaji kubadilishwa clutch master cylinder, kwa wale wajuzi hii kitu naweza kuipata kwa bei gani? Natanguliza shukrani zangu
  9. RALO

    Subaru Fans Special Thread

    Kuna yoyote humu anayemiliki Subaru legacy station wagon, manual transmission ya 2002 tubadilishane maujanja?
  10. RALO

    Kuendesha gari kwa mkono mmoja

    Mimi niko comfortable either way inategemeana tu na speed niliyonayo na njia ilivyo. Kuendesha kwa mkono mmoja inaweza ikawa salama au si salama kulingana na mwendo unaotembea nao na mkono wako umeuweka kwenye position ipi katika usukani wako.
  11. RALO

    Je, gari yako inatetemeka, engine kumisi au ukiwasha inazima inapokuwa ya baridi?

    Yani hapa sielewi chochote [emoji28] ila naona mpo vizuri wakuu. I appeciate kazi yenu
  12. RALO

    Baadhi ya solutions za matatizo ya automatic gearboxes

    Boss kuna Nissan liberty moja nahisi ina mojawapo ya hizo changamoto, yenyewe injini ikiwa imepoa ukawasha inaondoka fresh inachange gear kama kawaida but ikishapata joto inajirudisha kwenye gear No. 1 au 2 hata kama upo speed kiasi gani, hapo ishu inaweza ikawa nini maana hata kutembelea...
  13. RALO

    Hivi kumbe unaweza toka na gari na hauna hata shillingi mia mfukoni

    Kawaida sana hii, ingawa sio ya kufanya kimazoea ila ikitokea mfukoni hamna kitu na inabidi utoke na gari lina wese wewe piga moyo konde ingia road kibishi, mimi nisipokuwa na kitu mfukoni siku hiyo nakuwa ni dereva bora macho yote yanaangalia vibao barabarani sifanyi kosa kiboya ingawa kuna...
Back
Top Bottom