Ni kweli.Wengi driving tunajifunzia manual ila sasa tukishatoka driving miaka inapita bila kuendesha manual kama unavyojua gari ndogo nying pendwa hazina version za manual gari ndogo za manual ninazofahamu ni vitz na starlet ambazo sio machaguo pendwa kwa vijana wengi na vijana wengi hatuwezi kumudu bei ya SUV ambazo nying zina matoleo ya manual so unajikuta tu gari ya manual hiwezi kuimudubkwa kuwa kuwa hujatumia mda mrefu zaidi ya shule tu...
Hii Maelezo murua lakini piaClutch pedal huwa imejikunja kurudi juu!
Unapoiachia usiinue mguu kuifuata bali iachie kwa kurudisha mguu nyuma ukihakikisha kisigino chako hakitengani na floor ya gari.
Pia fanya mazoezi kwenda mbele na kurudi nyuma sehemu za wazi mara nyingi uwezavyo. Hii itakusaidia kujua clutch yako inaruhusu gari kutoka ikiwa level ipi chini, katikati au juu.
Kama ili gari itoke clutch inakulazimisha kuiachia mpaka juu, ita fundi ai'adjust' ili ukilegeza tu mguu ianze kuondoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mana huwa nashangaa wanaoponda wasiojua manual wakati gari za manual haizipatikani...Ni kweli.
Driving school unafundishwa manual kwa kutumia liCruiser flani after 3/4 weeks ukimaliza ukirudi street unaaendesha auto maana ndio inayopatikana. Sasa kwa muda wote huo kumbukumbu za manual zinapotea.
Kuna aliwahi kufananisha udereva wa auto kama kucheza game la magari (Fast Motor GP) kwenye simu. Mradi ujue kunyoosha na kuongeza mafuta
Sahivi kuna gari zinajiendesha zenyewe.Ndio mana huwa nashangaa wanaoponda wasiojua manual wakati gari za manual haizipatikani...
Hata wazungu huko wameacha kutoa gari za manual labda uweke speciail oder
Hapo UK tu gari za Manual ni nyingi kuliko auto.Ndio mana huwa nashangaa wanaoponda wasiojua manual wakati gari za manual haizipatikani...
Hata wazungu huko wameacha kutoa gari za manual labda uweke speciail oder
Angalia gari za matoleo ya 2017 kuja juu nying zimetoka automatic ni suala pa mda tu manual zitabaki za kujifunzia drivingHapo UK tu gari za Manual ni nyingi kuliko auto.
Na kwa UK anayejua manual then leseni yake inamruhusu kuendesha na auto,lkn mwenye kujua auto na manual hajui then leseni yake haitamruhusu kuendesha gari manual mpk akafanye driving test na atahitajika ku-upgrade leseni yake.
Ukishazoea inakua kawaida sana. Na utaenjoy Sana. Ukija kuendesha auto unakua boredShida ipo pale kwny kuachia clutch afu kurudisha mguu kwny wese hapo ndipo uchawi ulipo kubalansi mambo...
Mie nilijufunza driving ten years ago ila sijagusa tena manual ila ninachojua manual uchawi wale upo kwny kuondoka tu ikishashika mwendo haina tofauti na auto...
Mtoa mada usiombee ukute folen ya kilimani afu wa nyuma yako kaa zero distance huwa patamu hapo
Shida sio clutch au shida ya gari ya fundi. With manual transmissions kuondoka huwa ni issue:-Iweje
Mkuu, international companies wananunua manual transmission mara nyingi.Angalia gari za matoleo ya 2017 kuja juu nying zimetoka automatic ni suala pa mda tu manual zitabaki za kujifunzia driving
Hiki ndio kipengele cha manual tu, sijaweza hapo tu ndio maana manual siijui mpaka sasa natamani kwenda NIT ila pale naskia wanakupa eicher uhangaike nalo ukizengua unaanza upyaHii scenario imenikuta sana pale kwenye kamwinuko pale kutoka rafia kuelekea tegeta kwenye mataa ya mbuyuni. Kelele nlizopigiwa pale mpaka nikazima gari na kuwasha hazard.
Hapo kwenye kuswitch clutch na mafuta ndio panapochanganya yaan
Sio UK to hata Denmark wanatumia gari za manual sana. Hata gari inayotoka 2021 unakuta ni Manual Tranny 😸!Hapo UK tu gari za Manual ni nyingi kuliko auto.
Na kwa UK anayejua manual then leseni yake inamruhusu kuendesha na auto,lkn mwenye kujua auto na manual hajui then leseni yake haitamruhusu kuendesha gari manual mpk akafanye driving test na atahitajika ku-upgrade leseni yake.
Manual kuondoka moja kwa moja sokoni ni theory yako binafsi mkuu.Angalia gari za matoleo ya 2017 kuja juu nying zimetoka automatic ni suala pa mda tu manual zitabaki za kujifunzia driving
Kama una experience ya ku drive an automatic car,kujifunza manual ni kitu kidogo sana believe me.Challenge kubwa ya Manual mara nyingi ni kwenye kuondoka na kusimama otherwise ukiwa kwenye motion haina difference yoyote ya maana na Automatic trans.Just believe yourself-& Nothing special.Hiki ndio kipengele cha manual tu, sijaweza hapo tu ndio maana manual siijui mpaka sasa natamani kwenda NIT ila pale naskia wanakupa eicher uhangaike nalo ukizengua unaanza upya
NakubaliKama una experience ya ku drive an automatic car,kujifunza manual ni kitu kidogo sana believe me.Challenge kubwa ya Manual mara nyingi ni kwenye kuondoka na kusimama otherwise ukiwa kwenye motion haina difference yoyote ya maana na Automatic trans.Just believe yourself-& Nothing special.
Kuendesha manual kwenye safari ndefu sio shida ila kwahapa town asee ni shida sana. Mkono hautulii kila saa unashuka na kupanda gia na usiombe upate kilima halafu kuna folen hesabu yake ni ya hali ya juu sana.Kama una experience ya ku drive an automatic car,kujifunza manual ni kitu kidogo sana believe me.Challenge kubwa ya Manual mara nyingi ni kwenye kuondoka na kusimama otherwise ukiwa kwenye motion haina difference yoyote ya maana na Automatic trans.Just believe yourself-& Nothing special.
Naamini hilo sababu ndio kinachonitatiza mpaka sasa!Kama una experience ya ku drive an automatic car,kujifunza manual ni kitu kidogo sana believe me.Challenge kubwa ya Manual mara nyingi ni kwenye kuondoka na kusimama otherwise ukiwa kwenye motion haina difference yoyote ya maana na Automatic trans.Just believe yourself-& Nothing special.
Kweli kabisa asilimia kubwa ni manual mkuu unafahamu UK.Hapo UK tu gari za Manual ni nyingi kuliko auto.
Na kwa UK anayejua manual then leseni yake inamruhusu kuendesha na auto,lkn mwenye kujua auto na manual hajui then leseni yake haitamruhusu kuendesha gari manual mpk akafanye driving test na atahitajika ku-upgrade leseni yake.