Recent content by Rajikumar Ashoka

  1. R

    JamiiForums Tanzania Mh. kwa speed hii tutafika kweli 2020?

    Mh kwa kasi hii hatufiki 2020 mi narudi home mbona tunaisha wote kabla hatujatoboa duuh nasema narudi home.
  2. R

    JamiiForums Tanzania Ng'ombe wangu hataki kupandwa

    Labda anataka umpande ww
  3. R

    JamiiForums Tanzania Mnajua kwamba hii katuni haitakiwi jf?

    Huo utawala unaousema huo unao we nyumbani kwako hao uliowaning'iniza hao ni ndugu zako kisa wanaishi kwako
  4. R

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Tulishaanza kumuandaa Katambi ili asaidie Chama kwenye kitengo cha sheria kama Wakili

    Chadema sio taasisi ni chama cha MTU hicho
  5. R

    JamiiForums Tanzania Lema amezindua Kampeni za Udiwani Kata ya Muriet na kamtambulisha Simon Moleli kuwa mgombea kupitia CHADEMA

    Hivi mtu kama una akili timamu unaweza ukakusanya watoto hawa alafu uhutubie mkutano wa kisiasa watakusaidia nin sasa watu wengine bana au ndo kupambana na hali zenu. Mara wengine waseme eti wamepata madume inamaana walikuwa majike woote cdm nzima kichekesho kweli Mimi nilidhani tuna watu wenye...
  6. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa Kenya: Kilichokataliwa kilikuwa bora zaidi kuliko kilichotarajiwa kuwa bora

    Wameyatongoza matatizo lazima wayaowe
  7. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa Kenya: Kilichokataliwa kilikuwa bora zaidi kuliko kilichotarajiwa kuwa bora

    Acha wakome wameyatengeneza weenyewe
  8. R

    JamiiForums Tanzania Kuhusu data: Zitto "ambishia" Rais Magufuli

    Zitto hayo yote inakuuma coz hujapewa kitengo serikalini kama ulidhani kuwa kimya ili uteuliwe UDC au URC umechemka utasubiri sana ww pambana na hali yako sio kuanza kuongea pumba uchumi umeshuka nyumbani kwako na sio serikalini
  9. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini Serikali isikanushe Rais wetu kutuhumiwa kuwatumia makomando kutoka Rwanda?

    Ww unayesema umelithibitisha hilo au umetega ili usikie serikali itasema nn. Kama ulitumwa kuandika thread ya namna hiyo ushafeli kajipange upya au urudi kinyumenyume upo.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Mbunge Nassari: Video imeandikwa mwaka 2008 kwa kuwa ni mwaka kifaa kilitengenezwa

    Huyu nassari awadanganye nyumbu wenzie sio wote
  11. R

    JamiiForums Tanzania Wabunge Lema na Nassari watoa ushahidi wa DC na Mkurugenzi Arumeru walivyowarubuni Madiwani 10 wa CHADEMA waliohamia CCM

    Hahahaaa haibu kweli eti vifaa vya kisasa umetuka navyo uingereza yaani ujinga wako was kutojua projector uje udanganye watu eti umetoka navyo uingereza wakati projector zinazagaa kila mahali acha ushamba ww
  12. R

    JamiiForums Tanzania Wabunge Lema na Nassari watoa ushahidi wa DC na Mkurugenzi Arumeru walivyowarubuni Madiwani 10 wa CHADEMA waliohamia CCM

    Nikadhani anadai ushahidi kuna kilichofanyika kikaonekana kumbe maneno ambayo no mazungumzo ya watu ama kweli MFA maji hakosi kutapatapa eeh masari umeishiwa ww na unajua kabisa 2020 haurudi ndio maana unasaka kick zisizo na miguu wala vichwa hiyo imedoda kajipange uje upyaaaaà
  13. R

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi 2020, Magufuli Hawezi Kushinda Urais

    MFA maji hakosi kutapatapa hangaikeni tu mtatulia weenyewe
  14. R

    JamiiForums Tanzania Natamani utawala wa Magufuli uzidi kushindwa kabisa ili wananchi wapate akili

    Kwa hiyo maoni yako ni nn au unatakaje ww?
  15. R

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe kafikishwa Dodoma, amewekwa Central Police

    Woote mnaoona zito kwa alichokifanya in sahihi nyie in wasenge kweli
Back
Top Bottom