LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
kwa arusha ccm wagawe rushwa sana. vinginevyo hawataambulia hata kata moja....
Arusha wanajitambua sana siyo misukule kama weweSiasa za Arusha na Moshi hazitegemea Sera wala uwezo wa mtu Kuongoza Bali chuki za Wananchi kwa CCM. Ndio maana mtu Kama Lema ambaye hafai hata kuwa Mwenyekiti wa !Mtaa kawa Mbunge!!!
Kwingine kote ila sio ArushaCCM watashinda ila sio kwa kura. Huu ndio ukweli ulio dhahiri.
Hata wavuta bangi wakizidiwa wanacheka sana!Upinzani nchi hii unachekesha sana huwa wanalalamikia tume ya uchaguzi na mfumo mzima wa uchaguzi kuwa una upendeleo ila uchaguzi ukija wanashiriki halafu matokeo yakija wanashindwa wanaanza lawama tena?
kwani wamepita!Kila la heri kwa wagombea udiwani wa chadema.
Onyo: wasikubali kununuliwa tena.
Kama sisi tunanunua na nyie si mnunue?-Uhuru KenyattaCCM Arisha watashinda kwa kununua wale wadiwani walioshinda kwa kufika bei. Lakin kwa kura za wananchi ccm hawatoboi.
Kweli Chadema Hali Yao mbaya mnooooHali yao ni mbaya sana
Naona mama zangu mnadanganyanaKweli Chadema Hali Yao mbaya mnoooo
Jengelele Lako lililochongoka! Nani mama yako?Naona mama zangu mnadanganyana