Rajikumar Ashoka
Senior Member
- Jun 3, 2017
- 150
- 91
Mh kwa kasi hii hatufiki 2020 mi narudi home mbona tunaisha wote kabla hatujatoboa duuh nasema narudi home.
Mku huu ujumbe umefika nimeupokeaCCM wanachukua diwani mmoja Chadema, Chadema wanachukua walibolewa nyumba 3000. Shame CCM
Well noted mkuuMku huu ujumbe umefika nimeupokea
Usjali....wao wanawahamisha kwa hela sie tunawapata wengine bureeeee.....ngoja hela zikiwaisha hata hao walioondoka watarudi na kukuta wengine wengi wapya wameongezeka......
Mapambano yataendelea mpaka Uhuru wa nchi upatikane....
Nyerere alimtoa mkoloni ila sisi tutalitoa hili jinamizi linalokandamiza maisha ya watu nakuwanyonya kisha kuwaacha maskini wakutupwa.
Kwa hiyo mku hata ktk maafa hatupati chochoteCCM wanachukua diwani mmoja Chadema, Chadema wanachukua walibolewa nyumba 3000. Shame CCM
kazi yenu ni kununua.Kwa hiyo mku hata ktk maafa hatupati chochote
Mku hatununui ila naona wanakuja kuandaa uasi huku kwetu. Si unajui Sisi uliopo ndani hatudhamini tena ndo tunawapokea kwa mbwembwe kumbe mengine ni borokakazi yenu ni kununua.
Muulize MnyetiMku hatununui ila naona wanakuja kuandaa uasi huku kwetu. Si unajui Sisi uliopo ndani hatudhamini tena ndo tunawapokea kwa mbwembwe kumbe mengine ni boroka