Recent content by RAISI MPYA

  1. R

    Waziri Angela Kairuki: Uhakiki wa vyeti haujafanywa kwa Viongozi walio katika nafasi za kisiasa!

    niliona ITV waziri alivyo maliza kusema tu hawaja husishwa, mh raisi alicheka sana. Kwa nilicho tarajia kama Kweli uhakiki huu usinge kuwa biased, basi mh raisi ange ongelea na watu walio kuwa chini ya teuzi zake hatua gani zitachukuliwa. katika swala hili mh raisi ameonyesha upendeleo wa wazi...
  2. R

    Machinga wapinga agizo la RC Dar kuzuia uuzwaji wa Filamu za nje ya nchi, Waandamana

    Sehemu pekee nnayo angalia bongo movie ni muda ninapo kuwa kwenye bus naenda mkoa mwingine, maana sina namna.
  3. R

    JamiiForums Usiku wa manane

    maisha yapi
  4. R

    Tukio moja la mwisho: Vikongwe majambazi waliotikisa dunia ya uhalifu

    Mkuu na mm niongeze kwenye tag list
  5. R

    Makonda: Nisemeni, mkichoka mtanyamaza

    Unamaanisha makonda au bashite
  6. R

    Hisa za vodacom sokoni

    nime kuelewa comrade
  7. R

    Hisa za vodacom sokoni

    Nimekutana na hii Habari leo asubui, kwa wenye uelewa mpana na hili swala ningependa tuelimishane
  8. R

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    Ingia Instagram angalia nkipal ni nani, onganisha doti then subili episode inayo fuata
  9. R

    Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

    Wadau nataka kununua hisa, sina uzoefu sana Zaid ya elimu ninayo ipata kupitia hapa jamii forum, please mwenye uelewa anijuze -kampuni gani ni zuri kununua hisa kwa sasa -kwa pesa kama million 5(mfano) ni vzuri kununua hisa sehemu moja au zaidi ya moja -kuna hatari kufanya manunuzi ya hisa...
  10. R

    Dawa za Kulevya: Yusufu Manji afikishwa Mahakamani Kisutu, aachiwa kwa dhamana

    ume fanya asubui yangu iwe mubasharaaaaaaaaa kwa kicheko hiki
  11. R

    Nadharia kuhusu chanzo na maana ya heshima ya kijeshi ya Mizinga 21

    Kama umesha wahi kulisikia neno "CONVENTIONAL ACCEPTED" naamini litakuwa lime tumika hapa, maana yake tuna kaa tunakubaliana kitu hiki kiwe hivi na kitakuwa kina maanisha hivi.
  12. R

    Serikali yagusia kinachoendelea kati ya Tanzania na Malawi

    ukiwa hauna knowledge ya mada husika kukaa kimya pia sio ujinga comrade, huwezi ukawa na kitengo cha usalama alafu hufatilii nchi za jirani kama hizi zinazo tu zunguka, but issue ya kukamatwa ni issue nyingine. usitegemee majibu ya ki mataamko kwenye issue seriously kama hii my comrade
  13. R

    Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

    Nilipo fika jkt ndo nikagundua Maharage siyo nyama, wana roho mbaya sana hawa watu, lakin ukianza kulia na kibano kiki kukolea wao wanaanza kufurai. Sasa ww jifanye nunda huumii, jamaa yangu alivunja mbavu
Back
Top Bottom