Recent content by rainy forest

  1. R

    Mapenzi Kizunguzungu

    Think you are insane madam. Go read your post careful and tell me if nimekurupuka
  2. R

    Mapenzi Kizunguzungu

    Hakuna jambo baya dunian kama kusubiri huruma ya mtu. Timiza wajibu wako, tenda kwa kiasi chako, imetosha ukisubiri huruma utaumia kila iitwapo leo
  3. R

    Wanaume na wanawake straight talk nini kipaumbele chako katika Mapenzi?

    Hapa mnazunguka mbuyuuu wewee ila ukweli unajulikana, kila mwanamke anataka ndoa hata kama ni kwenda kuangalia tu mkato wa chumba na kutoka. Mwanaume anataka familia ili imuwajibishe, na tena kama umegundua wanauame wengi wako committed in their works kwasababu wanajua wanapaswa kutunza familia...
  4. R

    Hongera sana mke wangu kunizalia mtoto wa kike!

    Mlee mtoto katika njia impasayo naye hataiacha hata atakapokuwa mzee. Mungu akukuzie.
  5. R

    Kwa me wenye mitumbo!: Your belly is putting your brain in danger

    over weight humfanya mtu mifupa ishindwe kustahimili uzito. Na kwasababu ya kuwa na uzito mkubwa then kinachofuata ni mfupa kushindwa kutengeneza chembe nyekundu za damu, matokeo yake mtu hua na damu pungufu. Hii hutokea kwa baadhi ya watu. Matokeo yake ni ubongo kushindwa kupata damu ya...
  6. R

    Chapati za kukanda

    asaneteni sana sana nakaa jikon sasa na huu uzi hadi niweze
  7. R

    Naomba ushauri simuelewi mke wangu

    Watu 8 wewee. Uchokonozi huanza sikio manake ndilo liwashalo, kidole hutumika kukuna panawapowasha. Hakuna muwasho hakuna kujikuna atiii. Swali la msingi kati ya sikio na kidole kipi hupata raha?
  8. R

    Chapati za kukanda

    Naombeni recipe ya chapati nzuri na tamu za kukanda. Nataka huu uwe mlo wa leo nyumbani kwangu. Pia ningefurah zaidi kama ukinipatia na mboga gani niitumie kwenye huo mlo. Binafsi nilipanga ziliwe na magarage ya nazi kwa nyama ya kukaanga. Ijumaa kareem.
  9. R

    Hatari: Wauza mbogamboga wapanga bidhaa chini Dar es Salaam

    Ivi umeingia sokoni Ilala boma? Af eti ni soko usoni pa raisi wa mkoa? Na hii mvua ya juzi ni balaa tupu nakuambia
  10. R

    Hatari: Wauza mbogamboga wapanga bidhaa chini Dar es Salaam

    Iyo mbona ni kawaida sana? DSM tukubali ni pachafu na sio soko moja ni yote buguruni, manzese, mwanayamala, mabibo, tegeta, tandale kote kote ni uozo.
  11. R

    Wanawake na changamoto za kileo

    Wee unanisema. Mi mwenyewe nimewapanga lakin kati yao sioni mwenye afadhali. Ikabidi nimuulize msure yeye alipataje? jibu "mwanangu nakuone huruma kwamba kwa kizazi cha sasa hutokaa upate mke mzuri kama mi nilivo mpata mama yako" Nimeamua kuwa muonjaji na kusepa, manake sasa hadi msure kaona hilo.
  12. R

    Wanawake na changamoto za kileo

    Nilimskia rafiki akisema mie sionji tena hadi nipate wa kuoa lakin siku iyo iyo akaanguka dhambini.
  13. R

    Msichana wangu hajui kupika, kufua wala kazi yoyote ya nyumbani

    Fella............some dude out there assumes this life is just simple and one can mess up with. Mie huwa simwelewi ata mshkaji tuu anayekaa kijiwen kila siku kunywa bia na nyama choma af mwaka unaingia unaisha zaid ya uzito alioongezeka hakuna kingine alichokipata. It is a big shame kwa mtu ku...
  14. R

    Jamiiforums hasa MMU ina wanawake ambao wanataka kuolewa kwa kasi ya ajabu

    Nimeipenda hii sana. Kuna wengine hapa jf ndo mbwembwe tu watoke nje ya jf yaani hadi huruma.
Back
Top Bottom