Recent content by RAINEL LIHAWA

  1. RAINEL LIHAWA

    JamiiForums Tanzania MFUMO WA KUCHAKATA MATOKEO AUTOMATICALLY

    MWALIMU NA MIFUMO WAKONGWE WA MIFUMO MASHULENI Tangazo Hili Unakutana NALO mara moja tuu Kwa Kwa Kila robo ya Mwaka. WIKI YA KUANDAA MATOKEO NDIO HII TERMINAL MAY-JUNE 2024 Mifumo ya matokeo Kwa level zote [emoji3534]Primary, [emoji3534]O level na [emoji3534]A level. Joint/Mock system...
  2. RAINEL LIHAWA

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa Serikalini jinsi ya kuweka task na sub-task kwenye mfumo wa ess (pepmis)

    KUJAZA TASK NA SUB-TASK. Watumishi wote wanaingilia kwenye mshare WA kwanza kushoto. Then mshare WA kwanza kulia anaingia supervisorkuset performance indicator, tarting date na ending date pamoja na kujaza weight Kwa Kila SUB-TASK Pia ataingilia ku-approve task za watu wake wachini. Kuna...
  3. RAINEL LIHAWA

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kwa watumiaji wa mfumo wa ESS (PEPMIS)

    Habari za majukumu viongozi? Naomba tupeane angalizo hususan kuhusu huu mfumo wa PEPMIS. Kumezuka utapeli mkubwa sana. Watumishi wanapigiwa simu wakitishiwa kuwa mfumo umewatema na hivyo mshahara wa mwezi Januari hawatapata na ili kulitatua hilo wanaombwa fedha. Mwalimu mmojawapo ndani...
  4. RAINEL LIHAWA

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutumia mfumo wa utumishi Ess na PEPMIS

    Noted mkuu
  5. RAINEL LIHAWA

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutumia mfumo wa utumishi Ess na PEPMIS

    Done nimeongeza
  6. RAINEL LIHAWA

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutumia mfumo wa utumishi Ess na PEPMIS

    Watumishi wote
  7. RAINEL LIHAWA

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutumia mfumo wa utumishi Ess na PEPMIS

    Oky step ni zilezile
  8. RAINEL LIHAWA

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa ratiba za vipindi (masomo) chakata ratiba automatically

    Mkuu hii sio Fet
  9. RAINEL LIHAWA

    JamiiForums Tanzania Mfano wa Task na Sub-Task za Mkuu wa Shule kwenye mfumo wa ESS (PEPMIS)

    MFANO WA TASK NA SUBTASK ZAKE KWA WAKUU WA SHULE 1.Kusimamia taaluma na ufundishaji kwa asilimia 100. Subtasks. [emoji736]Kusimamia maandalizi ya lesson plan, scheme of work, logbook,n.k. Kwa mwaka WA MASOMO 2024. [emoji736]Enrolment ya form 1 na 5. Uriport WA kidato Cha kwanza na Cha tano...
  10. RAINEL LIHAWA

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutumia mfumo wa utumishi Ess na PEPMIS

    Hakika changamoto itakuwa kibwa
  11. RAINEL LIHAWA

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutumia mfumo wa utumishi Ess na PEPMIS

    Bado bado. Pia maeneo mengine hakuna mtandao kabisa
  12. RAINEL LIHAWA

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutumia mfumo wa utumishi Ess na PEPMIS

    Hakika mkuu Ukizingatia mitandao yetu Kuna maeneo haisomi kabisa
  13. RAINEL LIHAWA

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutumia mfumo wa utumishi Ess na PEPMIS

    Hii ni balaa Kila siku wanatakiwa wawe online
  14. RAINEL LIHAWA

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutumia mfumo wa utumishi Ess na PEPMIS

    Upo sahihi mwalimu Hapo sawa
  15. RAINEL LIHAWA

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutumia mfumo wa utumishi Ess na PEPMIS

    Hapana mkuu hapo papo simple tuu. Jaza taarifa zako hama chap
Back
Top Bottom