Magufuli naaamini ni raisi pekee mwenye sifa kati ya hawa.
Tanzania kuongozwa na hawa wadada ni ngumu
Raisi kikwete akitaka ccm ishuke ikose matarajio yapotee wamuweke mwana mama hapa
Kinachouma pia hadi Sasa hawajilipa hiyo 400,000/= wamefika 320,000/= mmmhh hawa sio wawekezaji ni wanyonyaji.
Tanzanian watch out inaweza kuwa kama south Africa
No manumbu these guys teachers' junction wako real jamaa wakovserious kama hawana post wanakwambia ukweli HAWA sio matapeli Mimi wamenipa shule mpaka Sasa Niko kongowe kwa wakorea napiga kazi kwa ajili yao
Hizi dini tumeletewa kama mapokeo tu hakuna sababu ya kulumbana hata hivyo wengi wanaobishana hawajui misingi ya dini.
Hivi umeshawahi kusikia viongozi wa juu wa dini wanaropokeana maneno ya sini na dhihaka?
Kila mmoja asome kitabu chake kisha asome cha mwenzake abaki na ukweli wake
ANYAJAZE...
Tatizo lako unaamini wenye makampuni na managers ndio unaweza kumpata.
So ulikuwa unamtafuta at the wrong place.
Mimi nimewahi kukutana na Mr.NJAMA kutoka Teachers Junction wengi humu wanamjua jamaa yuko vizurikimawazo na mitizamo mtafute siku mioja pia nashauri media zingeweza kumtumia...
Sijasahau kurejesha tumekwenda Leo mbagala tumefanya oral interview na tutaenda tena kufanya class interview.
But sasa ndio naamini humu jamvini kuna watu wanakatisha tamaa maana Mr.NJAMA unazungumziwa tofouti.
Mmmhh sijui kama anaweza kicheza deal na wakuu wa shule directors tena sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.