Recent content by rahimladha

  1. rahimladha

    Nahitaji laini za Airtel Money, M-Pesa na Tigopesa

    Tigo pesa nipe laki 5 ninayo mpya haijaanza kazi
  2. rahimladha

    Sitaki kuolewa

    olewa upate heshima uitwe mke wa fulani au mama fulani ...hata uwe na gorofa kumi kariakoo utaitwa yule mwanamke ...
  3. rahimladha

    Nimepata mchepuko usio na gharama

    mchepuko huo ni mzuri ila kuwa na moyo ukiwaona wenzio
  4. rahimladha

    Password!Kwa nini?

    kwani mtu kutafuta password anatafuta nn?kama humuamini yanini uhusiano huo.kuna mambo hata mama mzazi hapaswi kufahamu ukiwa mwanaume unakufa nayo
  5. rahimladha

    Otango Osale ni nani huyu mtu?

    Wote inasemekana walikufa lakini hawakushikwa ndio maelezo yakiyokuwepo tulipokuwa wadogo miaka ya 90 tuliyopewa kule
  6. rahimladha

    Otango Osale ni nani huyu mtu?

    Ukipata wasaa nenda mapango ya Amboni utapata unachohitaji. Kiingilio ni 500 tu
  7. rahimladha

    Msaada Please! namna ya kuwaondoa ngedere nyumbani kwangu

    kamata mmoja mfunge kengele kwenye kiuno ikilia wenzie watakuwa wanamkimbia na yeye atakuwa anawafuata
  8. rahimladha

    Why wanapenda maongezi ya simu?

    mbona hiyo tamu sana na bahati kubwa ...angalia usije ukatuma vourcher ww akapigiwa mwengine
  9. rahimladha

    Kiwanda kidogo cha kusaga nafaka naweza kukipata wapi?

    ninazo mashine za kusaga na kukoboa afungue mwenyewe kiwanda.for sale
  10. rahimladha

    Usemi wa leo. Ongezea na semi zako

    kaniki hata uifue vipi haiwi nyeupe
  11. rahimladha

    Bei nafuu tu... Quick business

    docs zote unazo i.e importation docs,duty receipt na zote zinazotakikana?
  12. rahimladha

    Bei nafuu tu... Quick business

    ok nitakupigia tuongee vzr
Back
Top Bottom