Haya, katika mambo kama haya ndio huwa nazishangaa akili za wanaume. Dah jihalalishieni tu, hata mama zenu nan si w
ni wanawake? Kama point ni UANAWAKE?
Hebu kuweni na mipaka ktk mambo haya, kabla hamjawa km mbwa wanaopalamia yoyote wanaekutana nae.
We can't generalize b'hvior but also environment and the people your living with contribute a lot to our general b'hvior. So the decision is yours to check on her b4 making any decision.
Ni vzuri tukijadili mada za kimaendeleo zaidi kuliko kuwapa umaarufu watu wasio na mchango wowote kwenye jamii zaidi ya kutumia migongo ya familia kujinufaisha. like Riz, who is he 2 TZ anyway?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.