Kwel kabisa hadi mombasa....lamu...malindi...mafia zote ilikua ni torritories za zanzibar lakin kutokana na colonial rule wakati wa wakolon kukabizi uhuru sultan wakat ule alitoa visiwa baadhi kenya na Tanganyika kwa wajerumani na sheria ilikua inatambua makoloni yalikabiziwa kwa wazawa ni...
Muungano wetu una mapungufu mengi sana na yote inatokana Tanganyika hakuna autonomous region kama kule Zanzibar ambayo ni serikali ya SMZ kwaio tume generalized Tanganyika ni Tanzania kwaio mzanzibar anapata advantage ya kupata kila kitu ambavyo hata vile ambavyo sio vya muungano
Hii litaisha...
Habari wakuu. Poleni na majukumu.
Kuna rafiki yangu ametumika kama mzamini wa mtu fulani ambae alikopa kwenye hizi Microfinance Institute na huyo aliyekopa amekimbia, sasa burden ya kulipa deni imemwangukia mzamini.
Lakini mimi kama mimi nimejaribu kupitia huo mkataba wa yule jamaa aliekopa...
Kuna dada ofisi moja ya serikali sikupendezwa na huduma yake nikamchana akawa ana nipandishia tukawa tunabishana mwisho akasema kama una malalamiko twende kwa bosi nikasema twende....kumbe wanafanya kazi na polisi akanipeleka kwa polisi wa ile ofisi akajua nitawatetemekea wale polisi nao tukawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.