Recent content by RAFAEL HAULE

  1. R

    Magufuli akabidhiwa haya majina ya wauza 'unga'

    aweke ili ciber imtie hatiani?
  2. R

    Magufuli akabidhiwa haya majina ya wauza 'unga'

    nitafurahi sana iwapo kweli kakabidhiwa
  3. R

    Azam Media yapata haki za kuonesha Ligi Kuu ya Hispania

    [QUOTE=rodrick alexander;lakini ligi kwanza au vilabu viboreshe performance then tudai udhamini,huwezi kumlipa MTU PESA wakati KAZI haieleweki
  4. R

    Azam Media yapata haki za kuonesha Ligi Kuu ya Hispania

    Sasa mboreshe tuu uwajibikaji wenu kama wazungu,mfano kitengo chs ratiba za vipindi wanajisahau sana kuhabarisha vipindi mbalimbali AZAM Two,Haule Tanga
  5. R

    Lowassa achanja mbuga; CHADEMA wammezea mate!

    Fisadi mkuu ni Mkuu ndio maana Lowasa alishindwa kumkamata kama Waziri Mkuu na akaresign/jiuzulu Wana Ukumbi, Katika hali ambayo imewaacha wengi midomo wazi na baadhi kubaki kukuna vichwa. Ni baada ya kugundua kuwa CHADEMA kwa sasa hali ni tete na inasemekana wamekosa kabisa mgombea atakae...
  6. R

    Ya Mwai Kibaki Kenya kuwainua timu ya Upinzani Tanzania

    Kuungana kutetea maslahi ya umma si udhaifu wala dhambi bali ni uzalendo wa kweli
  7. R

    Kura yangu kwa Grace Tendega wa CHADEMA kalenga kesho,wewe je?

    mimi pia kura yangu ni kwa chadema na tendega...ccm ni ya mafisadi
  8. R

    Maandamano yanayoendelea Kigoma ni salam tosha kwa madikteta CHADEMA

    Hayo ni maandamano ya ukoo wake na yakununua vichwa why not in mbeya...iringa...mwanza....songea.....arusha.....ubungo.kama zitto ni mzito kwa watanzania
  9. R

    Dr.KITILA MKUMBO NAOMBA UFAFANUZI KATIKA HAYA!

    Chama makini kwakupora mapesa na mali kuweka uswisi,chama makini kung'oa watu meno?leo watumishi ukitaka kijiendeleza kielimu hupatiwi mkopo tena nasema ni mkopo sio kusomeshwa na serikali kama mlivyosomeshwa eti watu makini...........
  10. R

    Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

    Chama kishajengwa ndio Zitto akakikuta na kipo imara
  11. R

    Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

    We ----- tuu ndio walewale wa buku7
  12. R

    Kanda ya ziwa lazima itoe rais 2015

    Mnaweza kutoa rais na akawa fisadi zaidi wa vijisent na kuwalisha mapanki zaidi
  13. R

    Sabodo aichangia CHADEMA milioni mia moja

    Uzuri wao si wenye tamaa kama mafisadi wanaolindwa na CCM...CCM mmejaa tamaaa kila pesa ni chama kwanza na matumbo yao tuuuu si wafanyakazi wala wakulima tena
  14. R

    Dr.KITILA MKUMBO NAOMBA UFAFANUZI KATIKA HAYA!

    Akakibadili CCM cha tangu 1977 kwanini CDM chenye miaka michache
Back
Top Bottom