masanjasb
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 2,364
- 869
Mada ya kipuuzi kbs hii. Hatuchagui rais kwa misingi ya ukabila, ukanda, udini wala rangi yake. Tunachagua mtanzania yeyote mzalendo,asiye na ubaguzi na mpenda haki na usawa.
Maneno ya busara haya japo yametoka choo cha jirani.
hongera kwa kujitambua maana unaongoza kuhubiribi ukanda na ukabila humu