Recent content by radius

  1. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wasoma habari katika Radio na TV, hii ni sahihi?

    Sio mara moja au mbili bali ni mara kadhaa ninapo sikiliza taarifa au kuangalia runinga kwa ajili ya kupata habari huwa ninawasikia watangazaji wanatamka kwa mfano ...katika ajali hiyo abiria X wameweza kupoteza maisha yao... au katika shambulio hilo ....wanawake na watoto waliweza kupoteza...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Dkt. Wilbert Kleruu - Utata wa kifo chake, historia na maisha yake

    Mkuu alifanyanini hasa? hadi kuchapwa risasi, hii ilikuwa mbaya kiana?
  3. R

    JamiiForums Tanzania Dkt. Wilbert Kleruu - Utata wa kifo chake, historia na maisha yake

    I read it all, but may I know what exactly made a men to pull a trigger?
  4. R

    JamiiForums Tanzania Mwandosya alimfanya Nini Kibaya Jk, Hatokisahau?

    wow! so who was the men?
  5. R

    JamiiForums Tanzania Nani anastaili kuwa rais wetu ajaye nchini ? Tutafakari sasa,siyo baadaye !

    Na huyo ni Dr. J. M. Pombe waziri mkuu Mwakyembe, waziri wa ulinzi na mambo ya ndani Lowasa. ndivyo nionavyo inafaa.
  6. R

    JamiiForums Tanzania Zawadi ya upanga aliyopewa Rais Kikwete na sultan wa Oman ina maana kubwa!

    kaka fikiri kiana, ni mida karibu na makabidhiano hayo mara tu mavurugu yasiyo na maana! huoni kuna muunganiko?
  7. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Airtel: Kifurushi cha intaneti cha TSHS 2,500/-

    ipo mkubwa, andika internet tuma kwenda 15444
  8. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Airtel: Kifurushi cha intaneti cha TSHS 2,500/-

    Ni jana tu time za saa sita kasoro nilikuwa ninatumia modema iliyokuwa imeungwa na kifurushi cha 400 Mb, the speed wasn't bad kama inavyozungumza, au nimezoea ukonokono nikiona kinyonga naona kama formular one!!!
Back
Top Bottom