BAOBAO
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 1,874
- 547
Naomba sote,tuwachambue kwa uwazi bila ushabiki;wale wote tunatarajia watakuwa ni wagombea urais kupitia vyama vyao kama kweli wanastahili kuwa rais kipindi kijacho.Wana JF, tunaweza kabisa kupitia jamvi hili, kuwasaidia watanzania wenzetu kumpata Rais anastahili kuwaongoza watu kwenye mabonde na milima iliyojaa maziwa na asali.Tuanze majina kama Lipumba,Ndugai,Slaa,Lowasa,na wengine wengi.