Nani anastaili kuwa rais wetu ajaye nchini ? Tutafakari sasa,siyo baadaye !

BAOBAO

JF-Expert Member
Oct 12, 2012
1,874
547
Naomba sote,tuwachambue kwa uwazi bila ushabiki;wale wote tunatarajia watakuwa ni wagombea urais kupitia vyama vyao kama kweli wanastahili kuwa rais kipindi kijacho.Wana JF, tunaweza kabisa kupitia jamvi hili, kuwasaidia watanzania wenzetu kumpata Rais anastahili kuwaongoza watu kwenye mabonde na milima iliyojaa maziwa na asali.Tuanze majina kama Lipumba,Ndugai,Slaa,Lowasa,na wengine wengi.
 
Rais ajaye awe na sifa zifuatazo;-
  • Awe raia watz.
  • Awe na umri ambao katiba yetu inamtaka awe nao.
  • Awe mwadilifu.
  • Awe mzalendo wa kweli na dhati ya moyo wake.
  • Awe mchapakazi na asiyechoshwa na matatizo ya watz.
  • Awe na hekima na busara asiyeyumba kwa jambo lisilo na maslahi kwa Taifa lake.
  • Awe anajua tulikotoka,tulipo na wapi kama watz tunahitaji kwenda.
  • Awe anachukizwa sana na kukerwa na wizi,rushwa,ufisadi na uvunjifu wa sheria,haki na taratibu s kwa maneno pekee bali kwa matendo yake.
  • Awe ni yule kwake amani,utilivu na mshikamano vilivyopo vitalindwa kwa gharama yoyote.
  • awe ni yule ambaye atathamini rasilimali za nchi hii kwa manufaa ya watz wa sasa na kizazi kijacho.
  • Awe ni yule kwake ubaguzi ni mwiko kwa namna yoyote ile.
  • Awe ni yule atakayesimamia sheria za nchi bila woga.
  • Awe ni yule ambaye ni msikivu na mtulivu wa nafsi na akili.
  • Awe ni yule mwenye kuweka maslahi ya watz mbele naye kama kiongozi afuate.
  • Awe ni yule ambaye watanzania watamwamini bila shaka wala kinyongo.
Haya ni kwa mujibu wa mawazo yangu mimi,kwa kuwa umetupa nafasi ya kutoa maoni basi nadhani huu ni wakati muafaka kuanza kuwajua viongozi wetu kwa sifa hizo kwa kuanzia na itakapofika wakati wa uchaguzi tutakuwa na majawabu yenye kujitosheleza.Ni matumaini yangu kuwa wanajamvi wataendelea kumwaga mawazo yao kadili kila mmoja alivyojaliwa kuona ila binafsi singependa nifungwe na jina la mtu anaehisiwa kwa kuwa miaka mitatu ni mingi,watu hubadilika,watu hupoteza maisha,watu hubadili mawazo,wanaweza wasiteuliwe katika vyama vyao,singependa kusemea nani mwenye kufaa kwa sasa lets time tell.
 
Mkuu BAOBAO, nimeipenda hii thread lakini sijui kwanini hapo juu kuna watu wa ajabu ajabu...

Anyway, my opinion ni kuwa tusiweke tumaini kubwa kwa yeyote yule...hasa kwa madudu yanayoendelea kutokea ila tuhasishane katika maslahi ya taifa, na Rais ajaye
(REGARDLESS of chama atachotokea)..asimamie, kuilinda, kuongoza kupitia misingi hiyo.

Nasema hivi kwa sababu,kila Rais ajaye anaanza moja( akisahau kuna mwingine aliyepita aliyaanzisha kitu fulani..mfano mzuri huyu wa sasa(MH. JM Kikwete)..alitokea huko huko CCM) lakini hali ni mbaya kuliko,kwa kila leo.

Tuangalie, sifa, mahitaji, uwezo wa Nchi kwanza kabla ya kuweka Matumaini makubwa ambayo mwishoni yasipotimizwa mambo fulani tunasema "ningejua"... kwa kuwa na Utaratibu/ formula kama vile (Katiba/Constitution) ambayo tunaweza kuongozwa nayo, kwani katika hiyo ndipo yunaweza kuwajibishana...hata Rais mwenyewe kuwajibishwa.

Hadi pale atapotokea mwingine kutangaza nia ya kugombea(ambaye sijamuona bado), ninadhani Dr. Wilbroad Peter Slaa anaweza kufanya jambo fulani.
 
Mkuu BAOBAO, nimeipenda hii thread lakini sijui kwanini hapo juu kuna watu wa ajabu ajabu... Anyway, my opinion ni kuwa tusiweke tumaini kubwa kwa yeyote yule...hasa kwa madudu yanayoendelea kutokea ila tuhasishane katika maslahi ya taifa, na Rais ajaye (REGARDLESS of chama atachotokea)..asimamie, kuilinda, kuongoza kupitia misingi hiyo. Nasema hivi kwa sababu,kila Rais ajaye anaanza moja( akisahau kuna mwingine aliyepita aliyaanzisha kitu fulani..mfano mzuri huyu wa sasa(MH. JM Kikwete)..alitokea huko huko CCM) lakini hali ni mbaya kuliko,kwa kila leo. Tuangalie, sifa, mahitaji, uwezo wa Nchi kwanza kabla ya kuweka Matumaini makubwa ambayo mwishoni yasipotimizwa mambo fulani tunasema "ningejua"... kwa kuwa na Utaratibu/ formula kama vile (Katiba/Constitution) ambayo tunaweza kuongozwa nayo, kwani katika hiyo ndipo yunaweza kuwajibishana...hata Rais mwenyewe kuwajibishwa. Hadi pale atapotokea mwingine kutangaza nia ya kugombea(ambaye sijamuona bado), ninadhani Dr. Wilbroad Peter Slaa anaweza kufanya jambo fulani.
Asante kiongozi,nimetaja majina hayo kama mfano wa wagombea urais watarajiwa kupitia vyama vyao;kwa lengo la kuwajadili kila anayekusudia kutangaza nia ya kugombea urais tangu sasa au anayewatumia wapambe wake kupima upepo wakugombea urais !
 
Rais ajaye awe na sifa zifuatazo;-
  • Awe raia watz.
  • Awe na umri ambao katiba yetu inamtaka awe nao.
  • Awe mwadilifu.
  • Awe mzalendo wa kweli na dhati ya moyo wake.
  • Awe mchapakazi na asiyechoshwa na matatizo ya watz.
  • Awe na hekima na busara asiyeyumba kwa jambo lisilo na maslahi kwa Taifa lake.
  • Awe anajua tulikotoka,tulipo na wapi kama watz tunahitaji kwenda.
  • Awe anachukizwa sana na kukerwa na wizi,rushwa,ufisadi na uvunjifu wa sheria,haki na taratibu s kwa maneno pekee bali kwa matendo yake.
  • Awe ni yule kwake amani,utilivu na mshikamano vilivyopo vitalindwa kwa gharama yoyote.
  • awe ni yule ambaye atathamini rasilimali za nchi hii kwa manufaa ya watz wa sasa na kizazi kijacho.
  • Awe ni yule kwake ubaguzi ni mwiko kwa namna yoyote ile.
  • Awe ni yule atakayesimamia sheria za nchi bila woga.
  • Awe ni yule ambaye ni msikivu na mtulivu wa nafsi na akili.
  • Awe ni yule mwenye kuweka maslahi ya watz mbele naye kama kiongozi afuate.
  • Awe ni yule ambaye watanzania watamwamini bila shaka wala kinyongo.
Haya ni kwa mujibu wa mawazo yangu mimi,kwa kuwa umetupa nafasi ya kutoa maoni basi nadhani huu ni wakati muafaka kuanza kuwajua viongozi wetu kwa sifa hizo kwa kuanzia na itakapofika wakati wa uchaguzi tutakuwa na majawabu yenye kujitosheleza.Ni matumaini yangu kuwa wanajamvi wataendelea kumwaga mawazo yao kadili kila mmoja alivyojaliwa kuona ila binafsi singependa nifungwe na jina la mtu anaehisiwa kwa kuwa miaka mitatu ni mingi,watu hubadilika,watu hupoteza maisha,watu hubadili mawazo,wanaweza wasiteuliwe katika vyama vyao,singependa kusemea nani mwenye kufaa kwa sasa lets time tell.
Yote uliyoyasema ni madogo sana . Awe ni yule atakaye weza ku create jobs na kupunguza idadi ya watu wanaolima kwa misuri ya mikono.

awe ni yule atakaye kataa influence ya mataifa kiarabu kuchukia Irsael, marekani na Ulaya magharibi.
awe ni yule atakaye ongoza nchi kama Bunge, Mahakam kuu na idara ya utwawala vitakuwa huru.
awe ni yule atakaye kukubali kushindania uraisi wakati tume ya uchaguzi , na Takuru viko huru.
awe ni yule atakaye kukubali kushoitakiwa mara akifanya vibaya au kukubali rushwa.

Jobs creation ni muhimu sana kuliko wino kwa hakimu. Huwezi kujivunia kuwa raisi wa nchi kama idadi ya wapiga kura kubwa ni unemployed. Hivyo mataifa yanayosaidia kutoa soko la ajira ni USA, Israel na Ulaya magharibi. sasa ukiona raisi hataki urafiki na mataifa hayo, basi huyo si mwingine bali ni mtesa watu. Halafu lazima ujue Ulaya, na marekani, ziko vizuri sana kiuchumi, lakini mafanikio yao yote yameletwa na adhabu ya kifo kwa wahujumu uchumi. Halafu lazima tumpate raisi ambaye aliuchukia sana mfumo wa Ujama na kujigemea na lazima taje dhambi za ujama ana kujitegemea zilivyo watesa watanzania hadharani.

Kama hatatokea mtu kugombea uraisi ambaye hajaona dhambi za ujamaa na kujitegemea katika kuimarisha elimu , kucreate jobs, na kuboresha maisha ya wananchi, huyo hafai kabisaaa kuwa raisi wetu. Ni yale yale ya kuchukia matajiri, kuridhika na elimu ya UPE,na kunyenyekea mataifa ya waarabu!Kuamini kuwa pesa si msingi wa maendereo!!!
 
Atafahamika JULY 2015
Kiongozi,tukisubiri mpaka julai 2015 tuwafahamu;tutavuna mabua na visivyo dhahabu,kutokana nguvu kubwa ya mgombea katika kufanya kampeni kupitia mtandao wake tangu sasa.Wapo walioanza kutangaza hadharani kugombea urais,kama Zitto Kabwe ambao tuwatafakarikama wanastahili kuwa rais ajaye nchini.Tusisubiri media itutengenezee rais !!!!!!!
 
Yote uliyoyasema ni madogo sana . Awe ni yule atakaye weza ku create jobs na kupunguza idadi ya watu wanaolima kwa misuri ya mikono. awe ni yule atakaye kataa influence ya mataifa kiarabu kuchukia Irsael, marekani na Ulaya magharibi. awe ni yule atakaye ongoza nchi kama Bunge, Mahakam kuu na idara ya utwawala vitakuwa huru. awe ni yule atakaye kukubali kushindania uraisi wakati tume ya uchaguzi , na Takuru viko huru. awe ni yule atakaye kukubali kushoitakiwa mara akifanya vibaya au kukubali rushwa. Jobs creation ni muhimu sana kuliko wino kwa hakimu. Huwezi kujivunia kuwa raisi wa nchi kama idadi ya wapiga kura kubwa ni unemployed. Hivyo mataifa yanayosaidia kutoa soko la ajira ni USA, Israel na Ulaya magharibi. sasa ukiona raisi hataki urafiki na mataifa hayo, basi huyo si mwingine bali ni mtesa watu. Halafu lazima ujue Ulaya, na marekani, ziko vizuri sana kiuchumi, lakini mafanikio yao yote yameletwa na adhabu ya kifo kwa wahujumu uchumi. Halafu lazima tumpate raisi ambaye aliuchukia sana mfumo wa Ujama na kujigemea na lazima taje dhambi za ujama ana kujitegemea zilivyo watesa watanzania hadharani. Kama hatatokea mtu kugombea uraisi ambaye hajaona dhambi za ujamaa na kujitegemea katika kuimarisha elimu , kucreate jobs, na kuboresha maisha ya wananchi, huyo hafai kabisaaa kuwa raisi wetu. Ni yale yale ya kuchukia matajiri, kuridhika na elimu ya UPE,na kunyenyekea mataifa ya waarabu!Kuamini kuwa pesa si msingi wa maendereo!!!
Big up!. Kiongozi Tango, kutoa mawazo ni sawa na mbio za vijiti.Mgaya alianza,nawe utapokewa kijiti cha kutoa mawazo na wengine !
 
Tutumie nafasi hii kuwaleta javini hapa,watarajiwa kugombea na kuwa rais ajaye kupitia vyama vyao kisiasa na hata kuweka vigezo vya rais anayestahili kushika nchi,baada ya dr.Kikwete
 
Da aisee ni ngumu mno, maana kumjua mtu ni vigumu, ahadi hewa ndo zao wote, kwa kuwa ndo hivyo tena wanasema siasa ni propaganda, ni sawa na wale wa kale waliodanganywa sufuria inazaa jama tangu lini chuma/bati kikazaa??? sikia kupata mtu afaaye ni kama bahati nasibu, mtu mzalendo na mkweli ndo siku zote chama/Vyama vinampiga vita je atagombeaje??? dawa ni kupata katiba itakayoruhusu hata wagombea binafsi labda tutapatwa wigo wa kufanya best choice naweza sema" if Probability lack best sample it's so hard to get best outcome" so kwa mda huu tujitahidi tena katiba mpya ndo imekuja wakati muafaka, basi na tuitumie ili tujiongezee nafasi ya kuchagua kilicho bora, ili chama kikimnyima mtu tunaeona anafaa isivuruge Sample yetu, mtu huyo aweze kuja kwenye kinyang'anyiro kwa njia ya mgombea binafsi.
Ila kwa hali ya ss bado chaguo langu na ambalo naona litawapa tumaini watz ni Dk. Slaa pekee sijui wenzangu.
 
Rais ajaye awe na sifa zifuatazo;-
  • Awe raia watz.
  • Awe na umri ambao katiba yetu inamtaka awe nao.
  • Awe mwadilifu.
  • Awe mzalendo wa kweli na dhati ya moyo wake.
  • Awe mchapakazi na asiyechoshwa na matatizo ya watz.
  • Awe na hekima na busara asiyeyumba kwa jambo lisilo na maslahi kwa Taifa lake.
  • Awe anajua tulikotoka,tulipo na wapi kama watz tunahitaji kwenda.
  • Awe anachukizwa sana na kukerwa na wizi,rushwa,ufisadi na uvunjifu wa sheria,haki na taratibu s kwa maneno pekee bali kwa matendo yake.
  • Awe ni yule kwake amani,utilivu na mshikamano vilivyopo vitalindwa kwa gharama yoyote.
  • awe ni yule ambaye atathamini rasilimali za nchi hii kwa manufaa ya watz wa sasa na kizazi kijacho.
  • Awe ni yule kwake ubaguzi ni mwiko kwa namna yoyote ile.
  • Awe ni yule atakayesimamia sheria za nchi bila woga.
  • Awe ni yule ambaye ni msikivu na mtulivu wa nafsi na akili.
  • Awe ni yule mwenye kuweka maslahi ya watz mbele naye kama kiongozi afuate.
  • Awe ni yule ambaye watanzania watamwamini bila shaka wala kinyongo.
Haya ni kwa mujibu wa mawazo yangu mimi,kwa kuwa umetupa nafasi ya kutoa maoni basi nadhani huu ni wakati muafaka kuanza kuwajua viongozi wetu kwa sifa hizo kwa kuanzia na itakapofika wakati wa uchaguzi tutakuwa na majawabu yenye kujitosheleza.Ni matumaini yangu kuwa wanajamvi wataendelea kumwaga mawazo yao kadili kila mmoja alivyojaliwa kuona ila binafsi singependa nifungwe na jina la mtu anaehisiwa kwa kuwa miaka mitatu ni mingi,watu hubadilika,watu hupoteza maisha,watu hubadili mawazo,wanaweza wasiteuliwe katika vyama vyao,singependa kusemea nani mwenye kufaa kwa sasa lets time tell.

Na huyo ni Dr. J. M. Pombe
waziri mkuu Mwakyembe, waziri wa ulinzi na mambo ya ndani Lowasa. ndivyo nionavyo inafaa.
 
Back
Top Bottom