Hamna kaka hawaja kurupuka mpaka wanachukua maamuzi wameangalia mbali. Tatizo kuna vitu sisi kama washabiki tuna angalia na mchezaji na wakala wake wana angalia so they decide what is best for them.
Kila kitu tuna cho na vyote hivi vilikua vinafanya kazi miaka mingi ilio pita. Vingi vime telekezwa na texhnilogia imebadikika kiasi kikubwa. Tatizo letu ni utashi wa viongozi kwajili ya kulisimamia hili swala na ndio kinacho tuangusha JPM ana nia jema kabisa ya kulitekeleza swala je vyuo vyetu...
Ni hatua lakini, Itafika hapo unaposema kuwa hawawezi kuwa wezesha na izo equipment s na Labs. Spendi kuamini kuwa it is impossible kama unavyo sema kila kitu kina wezekana hata china walianza hivyo.
Mungu atu saidie sana sija wahi kujua tatizo kati ya kenya na Tanzania especially pale wanapo jikuta wanachangia kitu cha maendeleo kilicho fanywa na moja kati ya nchi hizi. Sio challenge bali niku kashifiana tu hakuna ambae anaweza akajaribu kupongeza na kufanya mjadala kuwa wenye tuja ambao...
Hongera sana. Wazo lako zuri sanaa Naamini utafika mbali. Ila pia ninge kushauri upate mawazo ya kisheria kuhusiana na kazi za watu usije kuingia matatani. Kazi nyingi hapo zina copyright na kuwa online its means your globaly watched.
Pasco. Good governancy ni kuwa mnafki kama una taarifa ya ulicho kifanya kwanini una shindwa kuelezea. Au mlizoea mfumo wa kuundiwa tume kila kajambo kadogo kanako tokea. Na ripoti zina somwa kimya kimya ishu inaishia jukwa juu.
AR Production ina kodisha TV za kisasa Inch 55 kwa ajili ya Sherehe kama vile Harusi, vikao na mikutano mbalimbali.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nami kupitia namba 0719040659
MAthematicia asante sana kwa ushauri ulio utoa kwa uyo kijana umefanya jambo la msingi sana naamini sote tutakua tumefaidika na hiko wazo mimi pia ni mija wa vijana wenye mtaji usio pungua million 4 lakini nimeshindwa ni aina gani ya biashara naweza kufanya ika nipa turn over ya uhakika na ikawa...
namini kuna watu wameumbwa kuwa na asiki ya kueneza chuki ili kuifanya dunia kuwa sehemu ilio laaniwa. badala ya kufikiri vitu vya msingi vinavyo weza kutujenga katika misingi ya amani na upendo mnanzisha chuki baina ya jamii flani.
hakika yule adui mkubwa ujinga atatumaliza.uhalali wa mtu kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.