Alikuwa vizuri sikatai, but sio kiwango cha kujengewa mnara jaman. ... mtajengea wangapi! Kwakuwa ameacha watoto wadogo... Mumuenzi kwa kufatilia wanae kuhakikisha wanasoma... Nadhan hiyo ni ya muhimu zaidi
Kwahiyo ukijiweka mbali na marehemu Nyerere ndo inakuwaje.... Lazma uelewe Nyerere sio muumba wetu na hana hatma yetu... Hata ingekuwa hivyo... Nitajie basi chama kinachomuenzi Nyerere kwa vitendo.. Otherwise tusubiri matokeo tuone hizo faida za kujiweka close na Nyerere
Mimi niko tofauti na wengi... Nakusapoti asilimia 100 kuondoka hapo nyumbani.. Na haimaanishi unakimbia matatizo km wengi wasemavyo.. . Bt ni aina ya mbinu ya kusolve tatizo. Utakapoenda mbali ndipo atagundua umuhimu wako.. Coz hatuonagi umuhimu wa kitu hadi kinapoondoka kwenye himaya zetu...
Shida ya baadhi ya Wabongo ni kila tatizo kuchukulia km bahati mbaya na kumsingizia Mungu ndo kapanga... Jaman tabia hiyo ya kutowajibishana ndo inawalemaza watendaji. .. Hiyo helcopter imenunuliwa ikiwa mbovu.. Na ilishawahi kuzingua mara kadhaa.. Sasa hapo ukiita uzembe.. . Watu wanapanic kwa...
Dah! R. I. P Deo Filikunjombe... Sina mengi! Nikikumbuka kipindi cha escrow. . Ulitimiza wajibu wako ipasavyo kama mwana kamati.. Kama mbunge. Pole kwa family
Umejielewa ulichosema. ... kwamba watanzania tufanye yetu tuwaache nyie wanyarwanda. .! Mbona we ya kwetu Tanzania unayaongelea?? Tena unayashobokea haswa! eti utachafua hali ya hewa humu JF kisa Rwanda imetajwa.. . Hovyo! Na vitisho vyako vya kitoto. Hopeless
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.