Recent content by Rabboni

  1. R

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Kufunika mdomo wakati wa mawasiliano Mchezaji anayefunika mdomo wake kwa mkono, jezi au njia nyingine wakati wa kuzungumza au kubishana na mpinzani anaweza kuadhibiwa kwa kadi nyekundu. Sheria hii inalenga kuongeza uwazi na kuzuia mawasiliano yasiyo sahihi, kama vile matusi au ubaguzi wa rangi.
  2. R

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Matibabu ya majeruhi Mchezaji anayepatiwa huduma ya kitabibu atalazimika kubaki nje ya uwanja kwa sekunde 60 kabla ya kuruhusiwa kurejea kucheza, isipokuwa katika hali maalumu kama majeraha ya kipa au pale ambapo mpinzani amepewa kadi ya njano au nyekundu
  3. R

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Mabadiliko ya wachezaji (substitutions) ndani ya sekunde 10 Mchezaji anayebadilishwa anatakiwa kutoka uwanjani haraka kupitia njia ya karibu zaidi ndani ya sekunde 10. Ikiwa atachelewa, mchezaji mbadala hataruhusiwa kuingia mara moja na timu italazimika kucheza pungufu kwa muda wa dakika moja.
  4. R

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Sekunde tano kwa throw-in na goal-kick Wachezaji lazima wafanye throw-in au goal-kick ndani ya sekunde tano. Kushindwa kufanya hivyo kunapelekea mpira kupewa timu pinzani au kona kama adhabu. Lengo ni kupunguza kuchelewesha mchezo, hasa katika dakika za mwisho za mechi.
  5. R

    JamiiForums Tanzania Nimegundua rafiki yangu kawa chawa wa kiwango wa Airport

    Mvizie umpige tofali la kichwa utasaidia wengi
  6. R

    JamiiForums Tanzania Page ya Russian Today (RT) haina habari ya ujio wa Rais Samia. Jamaa wanatudharau pia?

    wamechoka kabisa na vikwazo.
  7. R

    JamiiForums Tanzania Kuzuru kwa Rais Samia Kremlin, kubadili Siasa, vyama vya siasa, Uchumi, Ulinzi na Usalama

    Russia hakuna kitu pale, nikikumbuka Assad na Putin walivyokuwa washkaji daaah nachoka kabisa.
  8. R

    JamiiForums Tanzania Makonda: Asitokee mtu wa kuilaumu Serengeti Boys, kaa kimya kalale

    This man is idiot
  9. R

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    si kweli
  10. R

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Jumba la kifahari, inadaiwa la Lugumi, ukipewa kuishi bure, unaweza shindwa, kumudu bili ya umeme na maji

    hapo Dar kwenu Toure Drive, baada ya junction
  11. R

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Jumba la kifahari, inadaiwa la Lugumi, ukipewa kuishi bure, unaweza shindwa, kumudu bili ya umeme na maji

    Hii nyumba ni nzuri sana. Wrong location.
  12. R

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Japan wamejitahidi sana kwenye nafasi ya 16 Bora Round of 16 (2002, 2010, 2018, 2022)
  13. R

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    wanakipiga na Wales.
Back
Top Bottom