AFCON 2027, kuna uwezekano Kenya na Uganda wakawa wazuri sana kutuzidi kama hatuta anza maandalizi siriaz kuanzia sasa na kutosita sita kumuajiri kocha mzuri kama Gamondi
Sisi Tz tunahitaji muda sana na kwenye timu ya taifa watu wapunguze siasa.
Nasikia kumchukua Gamondi moja kwa moja hadi sasa wana kigugumizi kuwa ni mwanaharakati.
Ila yule jamaa ni mwalimu mzuri sana na ana mbinu nzuri, tatizo lake moja tu , anapenda sana starehe na Tanzania uhuru uliopo...
Gabon pia walikuwa ni wazuri , wanaweza san akucheza mpira wa kasi bahati mbaya kwao, walikutana na timu ngumu kidogo na wakakosa mbinu za kukabili hizo timu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.