Recent content by Rabboni

  1. R

    Full Time: Yanga SC 0-1 Simba SC| Muungano Cup Final | New Amaan Complex | 29.04.2026. Simba abeba Ubingwa

    Sahihi kabisa, Na Simba wameimarika sana maeneo mengi. Mwalimu ameanza kushika mwendo mzuri.
  2. R

    Full Time: Yanga SC 0-1 Simba SC| Muungano Cup Final | New Amaan Complex | 29.04.2026. Simba abeba Ubingwa

    MATCH DAY Yanga SC vs Simba SC ni Dabi ya Kariakoo, Kombe la Muungano Cup kwa wababe hawa kupambana kusaka taji. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa LEO 29/4/2026 Jumatano, Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, kuanzia majira ya saa 2:15 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Yanga SC wanaingia...
  3. R

    Yohana Msita: TASAF awamu ya nne iko njiani

    Who is Yohana Msita?
  4. R

    Baada ya kupewa heshima ya umakamo mwenyekiti. Nitakua mchoyo wa fadhira nisipotia neno kuhusu KATAA NDOA

    Mdau hata iweje, hapo kwenye yellow mimi hapana, au kwasababu nimeoa zamani? ha ha ah a
  5. R

    Baada ya kupewa heshima ya umakamo mwenyekiti. Nitakua mchoyo wa fadhira nisipotia neno kuhusu KATAA NDOA

    Sahihi, unakuwa leveled kulingana na uwezo wako. Ukikaa kiboya unachukuliwa kiboya vile vile
  6. R

    Baada ya kupewa heshima ya umakamo mwenyekiti. Nitakua mchoyo wa fadhira nisipotia neno kuhusu KATAA NDOA

    Mdau ulishajaribu kudate pisi kali iliyokuzidi kila kitu, wakati wa ujana wako? Na huwa wanapima uwezo wako, wakiweka huruma yao
Back
Top Bottom