Recent content by Rabboni

  1. R

    My Confession: Nilivyohudumia Mimba iliyokuwa na Baba 5 pasipo Kujuana

    Nakubaliana na wewe mfumo wa DNA hapo Tanzania umeingiliwa sana kwa lengo lakupunguza single mothers na street children.
  2. R

    Emotional Game.

    Siku hizi kuna utoto uliokubuhu...
  3. R

    Miaka 35-55 inaweza kuwa ya kutisha kwa wanaume. Kitumie vizuri kipindi cha miaka 20-35

    Sio mchezo, sisi tulioko kwenye 50's sijui itakuwaje sasa.
  4. R

    Patrobas Katambi: Sikiliza hii ujifunze

    Unamshauri Katambi? Huu utakuwa upotevu wa ushauri na muda wako mkuu.
  5. R

    Special Thread: African Cup of Nations (AFCON) 2025 - Morocco

    analysis yangu imepita mule mule. yote niliyoyasema yametokea
  6. R

    Special Thread: African Cup of Nations (AFCON) 2025 - Morocco

    AFCON 2027, kuna uwezekano Kenya na Uganda wakawa wazuri sana kutuzidi kama hatuta anza maandalizi siriaz kuanzia sasa na kutosita sita kumuajiri kocha mzuri kama Gamondi
  7. R

    Special Thread: African Cup of Nations (AFCON) 2025 - Morocco

    Mpaka sasa timu yenye nafasi ya Ubingwa huu wa AFCON ni Nigeria na anaweza kucheza final na Egypyt
  8. R

    Special Thread: African Cup of Nations (AFCON) 2025 - Morocco

    DRC leo mpira wao na Algeria utaamua hatma yao. Bado wanawashambuliaji wenye kigugumizi sana kwa kweli.
  9. R

    Special Thread: African Cup of Nations (AFCON) 2025 - Morocco

    Sisi Tz tunahitaji muda sana na kwenye timu ya taifa watu wapunguze siasa. Nasikia kumchukua Gamondi moja kwa moja hadi sasa wana kigugumizi kuwa ni mwanaharakati. Ila yule jamaa ni mwalimu mzuri sana na ana mbinu nzuri, tatizo lake moja tu , anapenda sana starehe na Tanzania uhuru uliopo...
  10. R

    Special Thread: African Cup of Nations (AFCON) 2025 - Morocco

    Benin, timu nzuri iliyokosa muunganiko wa washambuliaji. Ina viungo wazuri , tatizo lao kubwa sana ni kukosa striker wenye muunganiko mzuri.
  11. R

    Special Thread: African Cup of Nations (AFCON) 2025 - Morocco

    Gabon pia walikuwa ni wazuri , wanaweza san akucheza mpira wa kasi bahati mbaya kwao, walikutana na timu ngumu kidogo na wakakosa mbinu za kukabili hizo timu
Back
Top Bottom