Najiuliza hivi mfumo wa majengo wa serikali ni upi?
kwa sababu kuna mtiririko wa building agencies kibao...
NHC
TBA
Board ya Ujenzi
Watumishi Housing n.k
yote haya ya nini?
Hakuna shida wala, ni maamuzi yao tu.
Mbona hapa Tanzania tuna makampuni yanatua hapa na yanaenda Ulaya?
Naona kama ni maamuzi ya watu tu na kutochangamka kwa Air Tanzania...
Now days Air Rwanda, inatoka London-Kigali-KIA-Dar...
Bingo hiyo...
Wanaoenda Nairobi ni kwa ajili ya KQ.
Lakini...
Duh, kupandisha majukumu ya kila siku kwa watumishi wote?
Mbona hii ni ngumu sana?
Kwasababu majukumu yako lazima yadhibitishwe na kiongozi wako,
Nani atapata huo muda?
Nawashauri ili liweze kuwa sawa, wawe wanafanya hata kwa kipindi cha robo term yani kila baada ya miezi mitatu.
Na sio...
Mkuu Pole sana, Mbona serikali huwa haibadilishi mshahara wa mtu? labda kama ulipata demotion,
Ila kama ni uhamisho utakosa hizo posho tu, mshahara wako unabaki ule ule.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.