Recent content by Rabbi Faz Chover

  1. R

    Wapi naweza pata Mafunzo ya Martial Arts kwa upande wa Moshi

    Mwenye kujua mahali ambapo ninaweza kujifunza mojawapo ya michezo tajwa hapo chini mjini Moshi basi anisaidie:- 1. Combat Karate 2. Tae Kwon Do 3. Krav Maga 4. Muay Thai.. Michezo hii nimeipanga kutokana na levels za mapenzi yangu hata hivyo ikiwa hakuna mahali michezo tajwa hapo juu...
  2. R

    Samsung Galaxy J1 software updating failure..

    Ngoja nifanyie kazi comments zenu then nitatoa report..
  3. R

    Samsung Galaxy J1 software updating failure..

    Kwa muda wa wiki tatu sasa nimekuwa nikapata notifications za kufanya updates ya software za simu yangu tajwa hapo juu.. Pamoja na kuwa katika eneo ambalo internet ipo vizuri,kila nikifanya updates zinapofika wakati wa kufanya installation zinakataa then inaandika "error..." ikiwa na namba...
  4. R

    STEM vs BASE

    Ningependa kufundishwa tofauti ya terms zifuatazo kama zinavyotumika katika topic ya Word Formation.. 1. Stem 2. Base
  5. R

    Huawei wako juu

    Inauzwa pesa ngapi?? Inatumia line ngapi?? Naweza ipata wapi?? Ukinisaidia hayo itakuwa njema sana..
  6. R

    Huawei wako juu

    Inatumia line ngapi,mkuu??
  7. R

    Windows 10

    Nimekupata mkuu..
  8. R

    Windows 10

    Thanks mkuu..
  9. R

    Windows 10

    Salam wapendwa!!! Siku za hivi karibuni nimekuwa nikiona tangazo kwenye Pc yangu likinielekeza kuwa ninaweza kufanya upgrade ya OS yangu kutoka Windows 8.1 hadi Windows 10 ambayo si trial version kwa kifurushi chenye ukubwa wa GB 3 tu. Kwa kweli ufahamu wangu mimi ni karibia na sifuri kwenye...
  10. R

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    Mkuu unawewza ni-pm namba yako ili nikutafute kwa ajili ya mambo ya hapa na pale..
Back
Top Bottom