Songea gharama ya maisha ni ndogo sana. Kuna maeneo kama bombambili boda bado ni jero. Ila mzunguko wa pesa ni mdogo sana hivyo ni ngumu kupata pesa. Pia umbali kufikq majiji ya Tanzania linapafanya kutokuwa sehemu nzuri ya kuweka makazi. Morogoro ni pazuri zaidi kwa vyakula,gharama za maisha na...
Mkuu sidhani kama unaelewa vema system inavyofanya kazi nje ya taratibu za kawaida. Kwani wakitoa tenda kwa mkandarasi na wakaweka hizo expenses humo kisha akilipwa hiyo pesa akarudishiwa aliyetoa pesa ya kukodi ndege utaiona wapi? Nenda Dumila kuna vibanda vya wafanya biashara ndogo ndogo...
Kulinganisha bei inabidi upate uelewa za specifications za materials vinginevyo utatengenezewa kwa material ya kiwango cha chini kwa bei ya juu na bado ukadanganywa ni nafuuu
2024 nililetewa bill ya 23millions kuweka madirisha ya uPVC,nikapata mtu kanisaidia kupata sehemu ya kununua materials yote kisha nitafuta fundi ayatengeneze jirani na site,gharama zilipungua mpaka 15millions
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.