Je, nikimnyima tendo nitakuwa sawa?

Je, nikimnyima tendo nitakuwa sawa?

Ni mume wangu tuna watoto
Huyu baba kazidi umalaya jaman mpaka nakaa nae kirafiki namuuliza tatizo nini?

Kama haridhiki na mimi nimemruhusu aoe mke mwingine ampangashie mbali na mimi kwangu aje weekend tu kuangalia watoto hataki ananyamaza kimya. Yan ukishika cm yake unaweza zimia ana wanawake karibia 5 mara aombe picha za dudu... Ukizubaa marafiki zangu anapita nao, mabinti wa kazi, yani tabu tupu.

Nilichoamua sitaki tena sex na yeye, tutatiana nikiwa natafuta mimba tu nikipata sitaki aniguse tena ninawatoto 2 bàdo 1 tu...akichoka aondoke akaoe uko angalau nipate Aman, sina rafiki, naogopa hata ndugu kukaaa kwangu, sitaki mazoea na majiran maana wakinizoea tu anawalamba...aisee kichwa kinajam
WANAUMEEE kikao cha mwisho kilisemaje.

Xi Jinping
Natafuta Ajira
min -me
 
Ni mume wangu tuna watoto
Huyu baba kazidi umalaya jaman mpaka nakaa nae kirafiki namuuliza tatizo nini?

Kama haridhiki na mimi nimemruhusu aoe mke mwingine ampangashie mbali na mimi kwangu aje weekend tu kuangalia watoto hataki ananyamaza kimya. Yan ukishika cm yake unaweza zimia ana wanawake karibia 5 mara aombe picha za dudu... Ukizubaa marafiki zangu anapita nao, mabinti wa kazi, yani tabu tupu.

Nilichoamua sitaki tena sex na yeye, tutatiana nikiwa natafuta mimba tu nikipata sitaki aniguse tena ninawatoto 2 bàdo 1 tu...akichoka aondoke akaoe uko angalau nipate Aman, sina rafiki, naogopa hata ndugu kukaaa kwangu, sitaki mazoea na majiran maana wakinizoea tu anawalamba...aisee kichwa kinajam
Si mwache tu.

Kinachofatia ni maradhi, kama bado.
 
WANAUMEEE kikao cha mwisho kilisemaje.

Xi Jinping
Natafuta Ajira
min -me
Tulikubaliana men are polygamous by nature

Pia tulikubaliana chepuka ila family comes first sijaona mahali mke analalamika anakosa mahitaji yake au watoto hawapati mahitaji na bado anataka azae naye mtoto

Alipofeli mwamba sehemu moja tu ameshindwa kufanya uchepukaji wake iwe siri

Cc Kapeace
 
Huyo mpeleke kwa babu atiwe hicho kidude kwenye chupa ila usahau mtoto wa 3.
Na akianza kuliwa kiboga usije kuomba ushauri.
 
Tulikubaliana men are polygamous by nature

Pia tulikubaliana chepuka ila family comes first sijaona mahali mke analalamika anakosa mahitaji yake au watoto hawapati mahitaji na bado anataka azae naye mtoto

Alipofeli mwamba sehemu moja tu ameshindwa kufanya uchepukaji wake iwe siri

Cc Kapeace
Ukiona hivyo mke anazingua kwahiyo mchizi kamchoka anafanya hivyo ili mwanamke aondoke lakini mke nae kaamua kukaza kichwa.
 
Ni mume wangu tuna watoto
Huyu baba kazidi umalaya jaman mpaka nakaa nae kirafiki namuuliza tatizo nini?

Kama haridhiki na mimi nimemruhusu aoe mke mwingine ampangashie mbali na mimi kwangu aje weekend tu kuangalia watoto hataki ananyamaza kimya. Yan ukishika cm yake unaweza zimia ana wanawake karibia 5 mara aombe picha za dudu... Ukizubaa marafiki zangu anapita nao, mabinti wa kazi, yani tabu tupu.

Nilichoamua sitaki tena sex na yeye, tutatiana nikiwa natafuta mimba tu nikipata sitaki aniguse tena ninawatoto 2 bàdo 1 tu...akichoka aondoke akaoe uko angalau nipate Aman, sina rafiki, naogopa hata ndugu kukaaa kwangu, sitaki mazoea na majiran maana wakinizoea tu anawalamba...aisee kichwa kinajam
Pole sana mkuu
 
Ni mume wangu tuna watoto
Huyu baba kazidi umalaya jaman mpaka nakaa nae kirafiki namuuliza tatizo nini?

Kama haridhiki na mimi nimemruhusu aoe mke mwingine ampangashie mbali na mimi kwangu aje weekend tu kuangalia watoto hataki ananyamaza kimya. Yan ukishika cm yake unaweza zimia ana wanawake karibia 5 mara aombe picha za dudu... Ukizubaa marafiki zangu anapita nao, mabinti wa kazi, yani tabu tupu.

Nilichoamua sitaki tena sex na yeye, tutatiana nikiwa natafuta mimba tu nikipata sitaki aniguse tena ninawatoto 2 bàdo 1 tu...akichoka aondoke akaoe uko angalau nipate Aman, sina rafiki, naogopa hata ndugu kukaaa kwangu, sitaki mazoea na majiran maana wakinizoea tu anawalamba...aisee kichwa kinajam
Pole sana
 
DUNIA NI DUARA!! Mutu makini MNO uyo kiongozi.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Ni mume wangu tuna watoto
Huyu baba kazidi umalaya jaman mpaka nakaa nae kirafiki namuuliza tatizo nini?

Kama haridhiki na mimi nimemruhusu aoe mke mwingine ampangashie mbali na mimi kwangu aje weekend tu kuangalia watoto hataki ananyamaza kimya. Yan ukishika cm yake unaweza zimia ana wanawake karibia 5 mara aombe picha za dudu... Ukizubaa marafiki zangu anapita nao, mabinti wa kazi, yani tabu tupu.

Nilichoamua sitaki tena sex na yeye, tutatiana nikiwa natafuta mimba tu nikipata sitaki aniguse tena ninawatoto 2 bàdo 1 tu...akichoka aondoke akaoe uko angalau nipate Aman, sina rafiki, naogopa hata ndugu kukaaa kwangu, sitaki mazoea na majiran maana wakinizoea tu anawalamba...aisee kichwa kinajam
Kinachokuzuia usiondoke ni nini hasa? Kama ni kuwa na watoto kwa nini hao wawili hawakutoshi ni lazima upate wa tatu? Ni kwa nini unataka watoto watatu? Kwani huwezi kupata mtoto mwengine na mwanamme mwengine? Kwa nini unakaa na unasumbuliwa na mwanamme ambae hakuheshimu wala hakupendi? Mume anaemuheshimu na kumpenda mkewe hawez kabisa kufanya hayo anayokufanyia huyo unaemuita mume wako!
 
Kinachokuzuia usiondoke ni nini hasa? Kama ni kuwa na watoto kwa nini hao wawili hawakutoshi ni lazima upate wa tatu? Ni kwa nini unataka watoto watatu? Kwani huwezi kupata mtoto mwengine na mwanamme mwengine? Kwa nini unakaa na unasumbuliwa na mwanamme ambae hakuheshimu wala hakupendi? Mume anaemuheshimu na kumpenda mkewe hawez kabisa kufanya hayo anayokufanyia huyo unaemuita mume wako!
Una uzoefu wa ndoa??
 
Back
Top Bottom