jaman kama kweli unatafuta ni vizuruka ni pm, na wale waliopata jaman naomba sana mrejesho, wengine tuwe na subira kwani tunaangalia sana vigezo vya mtu alivyo omba
Kwanza namshukuru mungu kwa kunipa uhai kwa siku ya leo.
Kimsingi niko hapa kuwaunganisha watu wanaotafuta WACHUMBA.
Nimeamua kufanya hivi kwani hitaji la watu ni kubwa humu JF ila kunawatu wachache wanawakatisha tama watu wanao tafuta wachumba humu JFkitu ambacho sio kweli, kumbuka mchumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.