Kwanza pole sana miaka mitatu si mchezo ushauri wangu nenda kwanza hospitali wajue ni aina gani ya fungus ulio nao ndo wakupe dawa kulingana na aina ya fungus
Nimeona umesema umekunywa dawa nyingi sana aina tofauti . Ukinywa dawa nyingi hua inashusha immunity (Kinga) ya mwili ndipo fungus...
Mi nimefanikiwa kuitumia ila binafsi naona ina disadvantages zake nimeona ina drain battery sana na pia bundles all in all ni great app thanx for sharing
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.