Recent content by QuiqDark

  1. Q

    Ulinzi uongezwe nchini huenda Kocha Benchikha wa Simba SC akatoroka nchini usiku huu

    Sasa hako katano {5imba} kana maana gani
  2. Q

    Rais Museveni amteua mwanae Muhoozi Kainerugaba kuwa CDF

    Ko inch ni ya family moja sasa. Naona mambo yanabamba sasa
  3. Q

    Baada ya Hayati Magufuli kuombewa Chato, Mwanza nao wanaandaa maombi, binafsi naona haya yanayofanyika baada ya Chato yako kimkakati

    Mbona hata kipindi hiki cha samia wanatoka wengi kuliko hata kipindi cha maguuu. Usikalili
  4. Q

    Awamu ya Tano Matajiri waliishi kama mashetani, pesa zao ziliporwa, Bureau De Change zilifungwa, wakabambikwa kesi nzito

    Sawa umetaja yote .......Sasa una wazungumziaje wanao kula kodi za raia leo jioni?.????
  5. Q

    Wazo Kebehi: Wangetaka Kutuua Wangetuacha na HIV/UKIMWI...

    Hivi maelewano tatizo ni nini. .......Tatizo ni huo msaada hatujauomba sisi .....ko mtanzania sio mjinga kupokea kitu ambacho hajaombwa wala kuwa na shida nacho
  6. Q

    Wasikilizaji wa Radio Imani: Ole wake atakayewalisha watoto wetu mchele wa msaada wenye virutubisho

    Tanzania yangu inaelekea wapi ,😞😞😞😞😞😞😞
  7. Q

    Makonda: Sitamsaliti Hayati Magufuli hata niwekewe bastola

    Nataka kuuliza Hivi samia atagombea mwakani.
  8. Q

    Tarehe 17 March 2021, Makamu wa Rais akitangaza kifo cha aliyekuwa rais Ndugu Hayati Magufuli ulikuwa wapi?

    Kipindi hicho....... . .........me nilikua form four.sema wadau walileta msiba shulen. Ilikua ni noma na nusu
  9. Q

    Tarehe 17 March 2021, Makamu wa Rais akitangaza kifo cha aliyekuwa rais Ndugu Hayati Magufuli ulikuwa wapi?

    Taarifa nilipata nikiwa shule......... Kidato cha nne... Nakumbuka ilikua mda wa prepo🪝📖📝........ Saa kumi na moja Asubuhi🕚🕚🕚. Mlinzi alituletea taarifa ya kifo cha raisi🥺😰😥🥶. Daaaaa nakumbuka Darasa lilitulia kama dakika2.= Hakuna aliye toa neno wala kukohoa🎚️ Baadaye ndo mijadala ikaanza kwa...
  10. Q

    True Story: Kupenda

    Ok sawa nishakupenda
  11. Q

    Ifike mahali Watanzania tuache kukubali hadaa na uzushi unaotolewa na akina Evarist Chahali na Kigogo

    U mean kuna baadhi zinaweza Expire ila kwa kikomo fulani so kila mtu ataona hizo taarifa ama kuzisikia
Back
Top Bottom