Hivi maelewano tatizo ni nini.
.......Tatizo ni huo msaada hatujauomba sisi
.....ko mtanzania sio mjinga kupokea kitu ambacho hajaombwa wala kuwa na shida nacho
Taarifa nilipata nikiwa shule......... Kidato cha nne... Nakumbuka ilikua mda wa prepo🪝📖📝........ Saa kumi na moja Asubuhi🕚🕚🕚. Mlinzi alituletea taarifa ya kifo cha raisi🥺😰😥🥶. Daaaaa nakumbuka Darasa lilitulia kama dakika2.= Hakuna aliye toa neno wala kukohoa🎚️ Baadaye ndo mijadala ikaanza kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.