Hatuwezi kushindwa Kula Kisa tuko uchi,ubora katika mchezo na kuwa na madaraka ya kutosha vyote tunavihitaji,hatuwezi kataa kimoja Kisa kingine hakijafanyika
Miluzi mingi humpoteza mbwa,kwenye demokrasia watu wanapata muda wa kukosoa kila kitu! Kuna kijiji nilikulia miaka ya tisini kile kijiji kilikuwa kisafi Sana wanakijiji waliishi Kwa ushirikiano Sana,barabara walitengeneza wenyewe Kwa kujitolea,hapo ndio Kiongozi alipatikana Kwa kuangalia mtu...
Wabongo mnapenda Sana kujiliwaza ila mi nimefurahi yaani mpaka hapa wote tuna huzuni na furaha kikubwa tu ukipoteza kubali kuwa umezidiwa mbinu kajipange tukutane tena ila inaonekana wenzetu mnapopoteza mnatoka kabisa kwenye reli,mara viongozi,mara bahasha,mara ushirikina mara sanda mara GSM...
Wabongo mnapenda Sana kujiliwaza ila mi nimefurahi yaani mpaka hapa wote tuna huzuni na furaha kikubwa tu ukipoteza kubali kuwa umezidiwa mbinu kajipange tukutane tena ila inaonekana wenzetu mnapopoteza mnatoka kabisa kwenye reli,mara viongozi,mara bahasha,mara ushirikina mara sanda mara GSM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.