Recent content by Queen Priya

  1. Q

    Simpendi kabisa mwanaume anayefuga ndevu

    Ndevu zina raha yake sana kuna namna zinakuchezea kwenye maeneo yenye ashk..ukikutana na mwanaume anayejua kuzitumia utatamani kila mwanaume wako awe na ndevu.. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Q

    Wale wapenda makeup

    Inategemea uso wako ni wa mafuta au mkavu kabla hujajua utumie nini..kama ni wa mafuta usipake kitu vitapotea kama ni mkavu paka kiazi mbatata tu asubuhi na jioni Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Q

    Fahamu jinsi ya kutunza ngozi, iwe yenye afya na inayovutia zaidi

    Tumia mafuta ya karoti tengeneza mwenyewe Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Q

    Umewahi kuachwa na mpenzi wako kisa hujatimiza ombi lake?

    Sina uhakika[emoji848]sikumbuki Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Q

    Would you consider naming your kids after a place?

    Nop Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Q

    Tusidanganyane, hakuna dawa ya kudumu ya jino bovu! Usiku wa leo nusura nilale uvunguni

    Dawa ya kutibu jino ipo! Mimi shahid..nina miaka zaid ya mitano sasa tangu nitibu jino bovu na kwasasa napiga tu mswaki vizuri nalichokonoa vizuri lile jino lililokua bovu maisha yanaendelea. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Q

    "Marketing manager" wa Tigo yupo kwenye payrol ya Airtel

    Mie mwenyewe nimehamia airtel nimetoka tigo[emoji57] wana mambo ya ajabu sana Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Q

    Kina kaka acheni ujinga, hakuna mwanamke asiyetaka kuhongwa, shauri yako

    Huyo cleme kafilisika karudi kwao huko na kigar chake kibovu hata ule uhandsome umemkimbia[emoji1787] Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Q

    Ni kitu gani mpenzi wako hakijui kuhusu wewe?

    Duh! Sasa si umchukue huyo wa tigo tu yanini kumpa mwenzio magonjwa[emoji57] Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Q

    Ni kitu gani mpenzi wako hakijui kuhusu wewe?

    We jamaa kiboko[emoji12] Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Q

    Ukifa leo nani atatoa lock kwenye simu yako?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  12. Q

    Ukifa leo nani atatoa lock kwenye simu yako?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]we kama mimi asee
  13. Q

    Nimeamua kumuacha. Imenibidi

    Alishakuchoka jitafakari tatizo lako tu! Tena katumia mbinu nzuri kanifundisha namie hii mbinu ngoja niitumie
  14. Q

    Naomba ushauri kuhusu kuachishwa kazi

    Nashukuru nimerudishwa kazini!! Ahsanteni wote kwa michango yenu hapa akili imenikaaa walah nilikua nalia usiku na mchana
Back
Top Bottom