Kwanza huna ht haya kuleta hiyo mada humu jf yaani dada wa kazi anafua nguo zako naza mkeo kwanini asifue mkeo,nyie ndio mijitu inayotandikiwa hadi kitanda huyo mkeo hajafunzwa jinsi ya kutunza ndoa yake aibu.
Nyie bishaneni mtukanane wenzenu yakwao yanawaendea,mwisho wa siku nyie ndio mtakaopigana na kuwa wakimbizi wenzenu familia zao wanazipeleka ulaya kwa raha zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.