CHADEMA imedhoofu mpaka inatia huruma!!

CHADEMA imedhoofu mpaka inatia huruma!!

Hii hatari inaenda mpaka kwa wagombea ubunge wa Chadema...huu ni upuuzi sana
 
Njia mpya ndio hii,au unataka kusubiri miaka 50 mingine na chama kilichopoteza mwelekeo

Hii sio njia ambayo tuliipanga kwa muda mrefu...sio njia ambayo ni sustainable...hii battle tumepoteza kijinga
 
Hii hatari inaenda mpaka kwa wagombea ubunge wa Chadema...huu ni upuuzi sana

Umejikita zaidi kwenye hisia kuliko uhalisia. Wewe haoni wimbi la madiwani kujiengua CCM na kujiunga CDM? Unafikiri wajinga hao.
 
Hii sio njia ambayo tuliipanga kwa muda mrefu...sio njia ambayo ni sustainable...hii battle tumepoteza kijinga
Uchaguzi umefanyika wapi mpaka useme CDM wamepoteza?? Mapenzi yanaweza kuondoa uwezo wa kufikiri hali kadhalika hisia na ushabiki.
 
Umejikita zaidi kwenye hisia kuliko uhalisia. Wewe haoni wimbi la madiwani kujiengua CCM na kujiunga CDM? Unafikiri wajinga hao.
Mkuu hao madiwani wanaohama ninawajua vilivyo...ni sehemu ya mfumo uleule tulioukataa 2010.

Walikuwa ni kikwazo kikubwa cha mabadiliko leo hii wamekosa au kusoma upepo ndio wanahamia ???inachukiza sana.

Tulikuwa na uwezo wa kufanikisha sisi kama sisi bila hawa mamluki!
 
Mkuu hao madiwani wanaohama ninawajua vilivyo...ni sehemu ya mfumo uleule tulioukataa 2010.

Walikuwa ni kikwazo kikubwa cha mabadiliko leo hii wamekosa au kusoma upepo ndio wanahamia ???inachukiza sana.

Tulikuwa na uwezo wa kufanikisha sisi kama sisi bila hawa mamluki!

Nimekuelewa lakini ina sound vipi kwa wananchi? Nani kapoteza? Huoni wanakuja watafuata mfumo wa huku walipo. Mkuu nikija kwako kama nina tabia zangu mbaya utanivulimia niishi kama nilipotoka au kwa masharti ya mwenye nyumba ambaye ni wewe?
Siasa hizi zimejengwa kimfumo.
 
Cdm wameuza mechi.walipima wakaona mziki wa makufuli wauwezi, mechi wamemuuzia lowassa.
 
Mkuu bado kuna mabaya yanakuja ambayo yanatufanya tujitetee badala ya kushambulia

Acha kuogopa kwa vitu usivyovijua. Mfano upo chumbani umelala na taa kisha umeme ukakatika kisha ukaanza kuogopa giza wakati na taa ulikuwa huogopi!
 
Baada ya ujio wa mheshimiwa sana tunashuhudia udhoofu mkubwa wa Chadema kwa kuwa ilikuwa inategemea ushabiki wa wale wasio na vyama!

Chadema imebaki kusubiri makapi ya ccm ambayo yanatafuta pa kumalizia muda wao kisiasa.

hili ni jambo linalotuumiza sana wale tuliotaka mabadiliko ya kweli kupitia chadema.
Toka lini unaihurumia cdm?acha isajili
 
Baada ya ujio wa mheshimiwa sana tunashuhudia udhoofu mkubwa wa Chadema kwa kuwa ilikuwa inategemea ushabiki wa wale wasio na vyama!

Chadema imebaki kusubiri makapi ya ccm ambayo yanatafuta pa kumalizia muda wao kisiasa.

hili ni jambo linalotuumiza sana wale tuliotaka mabadiliko ya kweli kupitia chadema.

Nina uhakika hujui nini maana ya mabadiriko. Kwa sasa naona unaonyesha rangi zako halisi
 
Nimekuelewa lakini ina sound vipi kwa wananchi? Nani kapoteza? Huoni wanakuja watafuata mfumo wa huku walipo. Mkuu nikija kwako kama nina tabia zangu mbaya utanivulimia niishi kama nilipotoka au kwa masharti ya mwenye nyumba ambaye ni wewe?
Siasa hizi zimejengwa kimfumo.
Tungeweka na kuyasimamia masharti tungepita salama
 
Da kweli bhana hata madiwani wote wa monduli,Tabora na ngorongoro wakaionea huruma wakajiunga nayo!
 
Nina uhakika hujui nini maana ya mabadiriko. Kwa sasa naona unaonyesha rangi zako halisi

Nimeyajua mabadiliko nikayaishi mabadiliko ,nikafanya mabadiliko ,nikayaadvertise mabadiliko na kuyasimamia mabadiliko kabla yako.kaa kimya
 
Back
Top Bottom