Kwa wale mliowahi kufika na kuishi na mnaoishi South africa, Je sio kosa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanafunzi kama ilivyo Tz (30years jail),
Binti mmoja (minenhle) ambaye ni social media influencers SA, ameshea clip akionesha zawadi iphone 15 aliyopewa kwa kutimiza miaka 4 ya...
Kwamba huvujisha hizo clip makusudi? Au zina leak bahati mbaya
Kwanini wana record?? Hawajifunzi wahanga wengine
Kwanini hamna adhabu yoyote ?
Ukiangalia vizuri wahusika wana set kabsa camera kwenye angle nzuri
Note:kabla hata ya mange app video zilikua zina leak
Mjomba! Binamu yake bmkubwa alipotea mwaka 2000, alitafutwa kila sehemu akupatika, mwaka 2015 mama ake alienda kwa mganga kumuita(issue ya mganga sielewi chochote apa) baada miezi kadhaa
Jamaa alipatikan kilombero huko akiwa mahututi akurudishwa home
2017 akapata marder case lakini now...
Mwenye hii thread ni kilaza na hajui lolote kuhusu
Nyanda za juu kusini na haya ndo madhara ya elimu bure'
nenda kasome Geography afu uje ufute huu ujinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.