Recent content by Quavohucho

  1. Quavohucho

    Je, si kosa kudate na mwanafunzi Afrika Kusini?

    Yaani vice versa, huo marufuku kupata mimba ila sec fresh t
  2. Quavohucho

    Je, si kosa kudate na mwanafunzi Afrika Kusini?

    Kuhusu SA au whole africa
  3. Quavohucho

    Je, si kosa kudate na mwanafunzi Afrika Kusini?

    Dah ila 14 to 36yrs( 17 to 40)hii gape ni kubwa sana
  4. Quavohucho

    Je, si kosa kudate na mwanafunzi Afrika Kusini?

    Kwa wale mliowahi kufika na kuishi na mnaoishi South africa, Je sio kosa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanafunzi kama ilivyo Tz (30years jail), Binti mmoja (minenhle) ambaye ni social media influencers SA, ameshea clip akionesha zawadi iphone 15 aliyopewa kwa kutimiza miaka 4 ya...
  5. Quavohucho

    Video za ngono na wasanii ni ndugu?

    Kwamba huvujisha hizo clip makusudi? Au zina leak bahati mbaya Kwanini wana record?? Hawajifunzi wahanga wengine Kwanini hamna adhabu yoyote ? Ukiangalia vizuri wahusika wana set kabsa camera kwenye angle nzuri Note:kabla hata ya mange app video zilikua zina leak
  6. Quavohucho

    Waliowahi kupotelewa na ndugu au mtu wa karibu mje mtupe experience

    Mjomba! Binamu yake bmkubwa alipotea mwaka 2000, alitafutwa kila sehemu akupatika, mwaka 2015 mama ake alienda kwa mganga kumuita(issue ya mganga sielewi chochote apa) baada miezi kadhaa Jamaa alipatikan kilombero huko akiwa mahututi akurudishwa home 2017 akapata marder case lakini now...
  7. Quavohucho

    Mkoa wa Iringa utolewe Nyanda za Juu Kusini na kupelekwa Kanda ya Kati iwe Pamoja na Dodoma na Singida

    Mwenye hii thread ni kilaza na hajui lolote kuhusu Nyanda za juu kusini na haya ndo madhara ya elimu bure' nenda kasome Geography afu uje ufute huu ujinga
  8. Quavohucho

    Tuliowahi 'kuchungulia kaburi' tukutane hapa

    Au ndo huyo demu mwenye HIV anaye trend tik tok maan naye alibakwa dodoma huko
  9. Quavohucho

    Ni tukio gani la kunusurika usiloweza kusahau?

    https://www.jamiiforums.com/threads/umeshawahi-kunusurika-kifo-tuelezane-ilivyokuwa-kama-njia-ya-kumshukuru-mungu.1764477/
  10. Quavohucho

    Kwenye msitu wangu kuna black mamba/ koboko natafuta njia za kumwangamiza bila kuleta madhara kwenye jamii

    Huyu lazima atakua anaweza! Ndugu zake flani hivi wapo miono hko ndo kazi zao hizi, nshamuona mala kadhaa akienda kuwasalimia hao ndugu zake.
  11. Quavohucho

    Maafisa Usalama wavamia nyumba za Diddy, akakimbia msala na ndege yake binafsi inafuatiliwa huko Antigua Caribbean

    #No didy 50 cent tokea kitambo sana anasema didy nd mhusika mkuu mahuaji ya pac, ubakaji,ulawiti;: Anatakiwa asirudi kabsa USA
Back
Top Bottom