Kwanini hapa kwetu Ifakara kukatika umeme ni kila siku hasa tunapo anza kusikiliza taarifa ya saa 2 usiku ? jambo hili ni gumu kiasi gani kubadilika ? mbona imekuwa ni kawaida sasa ? hamuoni kama mnawakera watumiaji wa umeme ?
Mimi ninashauri yaainishwe maneno ya kejeli na matusi ni yepi maana kunawatu watakamatwa ilihali hawakuwa na lengo la kutukana bali wamekosa tafsiri ya matusi kejeli au uchochezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.