Recent content by Qualifier

  1. Qualifier

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Ungetudokeza hiyo technology tungechangia mawazo na research yako ingekamilika upesi
  2. Qualifier

    Kwanini kwa Tanzania ni kheri uwe Waziri wa Wizara yoyote tu Utaheshimika kuliko ukiwa Makamu wa Rais ambapo Utasahaulika na Kupuuzwa?

    Ninadhani ni maamuzi binafsi ya mtu mwenyewe akiamua kuinua mapembe maagizo yake yatatekelezwa
  3. Qualifier

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kwanini hapa kwetu Ifakara kukatika umeme ni kila siku hasa tunapo anza kusikiliza taarifa ya saa 2 usiku ? jambo hili ni gumu kiasi gani kubadilika ? mbona imekuwa ni kawaida sasa ? hamuoni kama mnawakera watumiaji wa umeme ?
  4. Qualifier

    Mambo ya mapenzi na tendo la ndoa tulioyatoa kwa wanyama

    Huja tuambia wanawake kulia wakati wa tendo la ndoa wameiga to mnyama gani ?
  5. Qualifier

    Mahakama ya Kisutu imegoma kumfutia dhamana Tundu Lissu baada ya Jamhuri kuomba afutiwe

    Busara ! Busara ! Busara ! nikuone wapi nichague lililo jema ?
  6. Qualifier

    Ajirusha mbele ya lori baada ya kusalitiwa kimapenzj

    there were so many fish in the sea besides her why committing suicide instead of looking for another ?
  7. Qualifier

    Afisa Mwandamizi wa polisi ahukumiwa kifo kwa kumuua mahabusu

    Waungwana nikumbusheni nimesahau geography ya shule ya msingi hivi kenya iko bara gani? maana wanaptenda haki wanaikaribia uswiss
  8. Qualifier

    Lugola awatangazia vita wanaomkejeli Rais Magufuli mitandaoni

    Mimi ninashauri yaainishwe maneno ya kejeli na matusi ni yepi maana kunawatu watakamatwa ilihali hawakuwa na lengo la kutukana bali wamekosa tafsiri ya matusi kejeli au uchochezi
  9. Qualifier

    Tanzania inadaiwa zaidi ya Tsh. Bilioni 400 kwenye Mahakama za Kimataifa

    Ziwe zinafanya safari za ndani tu
  10. Qualifier

    MAREKANI: Takribani watu 13 wameuawa kwa kupigwa risasi

    The world is going bad and people are getting mad
Back
Top Bottom