kritika
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 410
- 1,152
Poleni na corona wanawake wotee wanaume wapambane tu kiume hakuna haja ya kuwapa pole.
Nimeshangazwa sana na hawa wanaume wa kileo wazee wazima na mvii zao na wake zao nyumbani wanapigana bar kwasababu ya muhudumu, hivi wanaume akili mmepeleka wapi? Lini mtakuja kujitambua hata kidogo mbu@@@zi nyie,hamna aibu kabisa mnachaniana hadi mashati kupigania vidada visivyoeleweka tena vya umri mdogo,vichwa vyenu mnabebea ubongo kama pambo tu siku hizi?? inasikitisha sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshangazwa sana na hawa wanaume wa kileo wazee wazima na mvii zao na wake zao nyumbani wanapigana bar kwasababu ya muhudumu, hivi wanaume akili mmepeleka wapi? Lini mtakuja kujitambua hata kidogo mbu@@@zi nyie,hamna aibu kabisa mnachaniana hadi mashati kupigania vidada visivyoeleweka tena vya umri mdogo,vichwa vyenu mnabebea ubongo kama pambo tu siku hizi?? inasikitisha sana
Sent using Jamii Forums mobile app