Recent content by Quadratic

  1. Quadratic

    Ma sheikh arusha wamtambua meya wa arusha

    Mkuu mijitu mingine ukibishana nayo utageuka mwehu....achana nao. Asiyekuelewa katika posts zako ana mtindio kwenye halmashauri ya ubongo wake
  2. Quadratic

    Ma sheikh arusha wamtambua meya wa arusha

    Nimekuminyia kitufe mkuu, sasa sijui jinsi ya kuiondoa
  3. Quadratic

    Ma sheikh arusha wamtambua meya wa arusha

    YouTube - Bwana Yesu
  4. Quadratic

    Ma sheikh arusha wamtambua meya wa arusha

    Mimi sio muislam na itapendeza mambo ya waislam tuwaachie wenyewe. Lakini hata tukitumia nguvu, kejeli matusi bado ukweli utabaki kuwa palepale kuwa BAKWATA kwa namna moja ama nyingine ni chombo cha propaganda cha watawala. Na hili litaendelea hata kama TLP itatawala nchi maana tatizo la Bakwata...
  5. Quadratic

    Makamba apewe udaktari wa heshima!

    Msimsahau Dr. Tambwe Hizza tafadhali
  6. Quadratic

    Jamani kiuno kinaniua

    Vp hujawahi kubakwa utotoni?? Huenda ndo sababu
  7. Quadratic

    makampuni ya simu

    Acha unafiki na majungu wewe........TEWUTA NA COWTU ni nini?? Peleka majungu yako uswahilini sio kwa great thinkers.....P.U.MBAVU!!
  8. Quadratic

    Mabadiliko ya Katiba: Kikwete aongezewe muda wa miaka mitano

    Naheshimu mawazo yako mkuu, lakini Kumi ni mingi sana, tuta encourage ufalme kind of leadership
  9. Quadratic

    Mabadiliko ya Katiba: Kikwete aongezewe muda wa miaka mitano

    Sasa kama kasema Slaa ndo tuamini? Namheshimu Slaa, ametoa mchango mkubwa sana kwenye Taifa letu. Ni mtu makini lakini ni too small to be a president. JK aongezewe muda, full stop
  10. Quadratic

    Mabadiliko ya Katiba: Kikwete aongezewe muda wa miaka mitano

    Una utafiti wowote katika hili la somalia?? Nani akitawala Tanzania haitakuwa kama Somalia? Changamoto zipo na JK hajapinga changamoto na ndio maana hajishughulishi nazo. Bado hujajenga hoja ni kwa nini JK asiongezewe mhula mwingine wa tatu
  11. Quadratic

    Mabadiliko ya Katiba: Kikwete aongezewe muda wa miaka mitano

    Unatumia nguvu nyingi kupingna na hoja ndogo sana. Dig deep kwenye issues. Nasema hivi, JK amefanya mema mengi kwa Tanzania pamoja na Changamoto za kiutawala anazokutana nazo. Kubali hoja kwa hoja, pinga hoja kwa hoja. Hayo mengine unayoyasema ukayaseme kwa wenzako mnapokuwa mnasukana nywele au...
  12. Quadratic

    Mabadiliko ya Katiba: Kikwete aongezewe muda wa miaka mitano

    Discuss issues achana na mambo ya watu. Upuuzi wa kudiscuss watu ndio moja ya sababu ya Chadema kushindwa uchaguzi mkuu
  13. Quadratic

    Mabadiliko ya Katiba: Kikwete aongezewe muda wa miaka mitano

    Hakuna shaka kuwa wapuuzi ni wale wanaoupinga ukweli. Hata kama una chuki binafsi na JK lakini kusema ukweli mema tunayaona. Mradi wa mabasi yaendayo kasi umeshaanza, upo hatua ya mwanzoni Flyovers nazo zipo mbioni... Mnataka mfanyiwe nini watanzania??
  14. Quadratic

    Mabadiliko ya Katiba: Kikwete aongezewe muda wa miaka mitano

    Ni wehu tu watakaopinga kuwa JK amefanya mema mengi kwa WATANZANIA Madudu ya EPA, MEREMETA et al yamefanyika wakati wa Mkapa Muda mwingi amevumilia kutukanwa kwa ajili ya makosa ya wengine. Hakuna ikomavu wa kisiasa unaofanana na waa JK. Sasa ameanza kuijenga nchi. 1. Elimu safi na itaendelea...
  15. Quadratic

    Kikwete kujinasa kwa katiba mpya

    KAULI ya Rais Jakaya Kikwete kukubali kuundwa kwa katiba mpya ni ya kiungwana; na uthibitisho kwamba CHADEMA waliposusa hotuba yake Bungeni, aliguswa. Na sasa amejua hawezi kushindana na nguvu ya umma. Lakini kauli yake inapaswa kutazamwa kwa uangalifu mkubwa; kwani imeonyesha sura halisi ya...
Back
Top Bottom