Kwakawaida nikiota ndoto ilikuwa inatokea km ilivyo baada ya km sikumbili or inawezakaa atamiaka miwili ikapita but kinatokea kilakitu adi basi una uta nakumbukailendoto na huaga sisahau so naomba niulze nini ivi?
Kila jambo nawakati wake naamini mungu hakpanga itokee kwawote aliopitia japo yy alipanga iweivyo ilamungu alimpangia mwanamke tofauti tena asie atawarika lake na tayari mwenye familia yake ndio aje amzalie tena asie wa nchi yake kikubwa anachotakiwa nikumshkuru mungu kwa aliyomtendea kwani...
Chamuim dili na anaekuhusu kama umemfumania mmeo dili na mumeo na kama nimkeo dil na mkeo kuanza tif namtu usie mfaham inaweza ikala kwako mume anaweza akawa wako nakipondo ukala vilevile mwengne anakuua kabsa so uangalie nauyo mtu wakugombana nae coz kosa nilamumeo
Ukikuta mchaga yuko naushirikina anakuwa mbaya kwelikweli roho inakuwa mbaya Mara mbili koz wenyewe wanaroho zaajabu alafuukute amechanganya na haya mambo utafurahi nakwambia uchawi wamchaga nikiboko Nigeria haifui dafu,wanatumia adi misalaba kufanyia yao
Yaani yule hapaswi kuishi kwenye ulimwengu huu,kifo kingekuwa saiz yake kwakweli,japo imeandikwa tusamehe saba Mara sabini ilakiekweli yule Dada nimuuaji
Unajua tatzo letu wadada wakiafra tunapenda sana kuiga kwanza msichana ukishavuta sigara inaletapicha nyingine tofauti ktk jamii yaani ww umeshaekwa kwenye kundi la malaya atauwe mwema or mzuri kiasi gani unaonekana nothing,ukija kwenye pombe ndio kbsa niliwahi kuwa na best wakichaga mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.