Recent content by qaymo

  1. Q

    CHADEMA yazidi kumeguka...!

    Huyo Maja alipata matatizo akiwa anafanya shughuli za CHADEMA?? Mbona haelezi Matatizo gani aliyapata ! Haishangazi watu wengine kurudia matapishi yao !KAMA ALIKUWA CCM BARIDI/MOTO ATARUDI CCM
  2. Q

    Mkapa: Wapinzani bado ni wachanga kuwapa Ikulu!

    Umenena Mkapa anastahili hukumu na Hakimu sahihi ni Dr. Slaa
  3. Q

    Mkapa: Wapinzani bado ni wachanga kuwapa Ikulu!

    Umenena vema , Sishangai Mkapa kusema hivyo maana anajua alifanya nini hadi Mwl. kufia St. Thomas yeye na Waingereza na Waamerica
  4. Q

    Obama atembelea mitambo ya Symbion|Ubungo na Kisha kusafiri kuelekea US

    kama Bush , alivyoleta net za mbu na kuondoka na Dhahabu na Uranium , sijui Obama kama ataacha Mafuta na Gesi, Watanzania fungueni macho. Mleta mada hakika ana lake jambo.
  5. Q

    Pinda: CHADEMA wanatekeleza kauli yao ya nchi haita tawalika

    Simshangai Pinda maana aliwahi kutoa kauli kuwa wanaoua Albino nao wauawe , Hivyo kupigwa kwa raia wasio na hatia kwake ni sawa . Swali , Haki huwa inapatikana wapi ?? :yell::yell::yell:
  6. Q

    CHADEMA Arusha kuadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya Arusha ya Jan 5

    Nakumbuka vema siku hiyo nikiwa Central police Arusha kwa shughuli zangu binafsi , adha niliyopata sintaishau . Tuko pamoja kwa hali na Mali ! Maadhimisho si ya furaha bali ya huzuni. Makanda hakuna kukata tamaa ,
  7. Q

    Zitto kaanze na Mwongozo wa Spika!

    Kama kweli ana nia njema na umma wa Watanzania wengi masikini awataje kwa majina hao mafisadi na mabilioni yao huko ughaibuni, , upande wa pili tunahitaji hayo mabilion maana uchumi uko hoi na Zitto tusaidie kuuliza je hadi lini tutatumia pesa halali na haya...
  8. Q

    Hatua zinaendelea kuchukuliwa kuhusu tuhuma na shutuma zilizotolewa

    Makamanda wa Mageuzi , mimi niko pamoja nanyi ! kuna mambo mengi muhimu sana yanahitaji kufanyiwa kazi kabla ya 2015. Kama kweli tunahitaji kuiongoza nchi hii ambayo imefikishwa ICU na CCM , sasa hili la Kadi ya Dr.Slaa linapata wapi nafasi ?? Dr. alikuwa mwanachama...
  9. Q

    Huu ni ubadhirifu na ufisadi wa Dr. Slaa huko Mabwepande na mradi wa maji Karatu

    Ama kweli tuna vichwa vya Nazi ! Ufisadi wa Dr. kuhusu kiwanja na mradi wa maji Karatu ni upuuzi mtupu , sijui uliyeandika habari hizi za udaku unaishi wapi ?? hata ukimwuliza mpita njia atakujibu kuwa tatizo la maji Karatu halipo tena baada ya kazi kubwa aliyofanya Dr. Slaa...
  10. Q

    Ushauri: Zitto aanzishe Chama chake kingine...

    Nakuunga mkono ! Kahongwa akiwa kamati ya madini na nishati , rais gani tena labda wa kigoma.
  11. Q

    Slaa katika 'kumepambazuka' ya ITV

    Uko sahihi , ulegelege kama wa CCM , ukikumbatiwa ndani ya CDM , ni sawa na kumfuga Black Mamba bila kumtoa meno atakung'ata na kukuua! Dr. usiogope Watanzania wengi wanyonge na masikini wako na wewe !
  12. Q

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    Hongera Kamanda ! Haki itachelweweshwa tu ila kuizuia kabisa !NOT AT ALL.IMPOSSIBLE .
  13. Q

    Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

    Hakuna umakini , taaluma inapofanyika kienyeji unategemea nini?? Mfumo mzima umeoza, hadi Media inakosa dira ! aibu yao.Waombe msamaha kwa Lema .
  14. Q

    Maamuzi ya rufaa ya Lema na uhuru wa Lulu baada ya kubadilishiwa mashitaka

    Naungana na msemaji , kuwa Serikali ya Tanzania inafanya mambo kwa kuangalia ni jambo gani kwa wakati huo ni serious na inaleta hofu kwake , na inafahamu kuwa Watanzania maamuzi yao ni ya matukio . Tunakumbuka vema Babu wa Loliondo jinsi alivyokuzwa wakati...
  15. Q

    Kwanini CCM hawashangilii Ushindi wa kesi dhidi ya Lema?

    Ama kweli hayawi hayawi hatimaye yamekuwa , rufaa ya Lema leo ni faraja kwa wanamageuzi wa kweli ! Nape sema neno moja tu halafu Watanzania unaowadanganya kuwa Dr. Slaa ana kadi ya CCM , wakusikie tena kuhusu Lema kuwa Mp. wa Arusha !! Big Up Lema !!
Back
Top Bottom