Kwanini CCM hawashangilii Ushindi wa kesi dhidi ya Lema?

huruma kubwa ni kwa wananchi,kwani kodi zao zintumika bure tuu,kama ni matusi mbona watu huwa wanabadili kauli walizoongea na kuomba radhi then tunaendelea na mambo mengine:nod::nod:
 
Kwa muda sasa tumezoea kuona baadhi ya vyama vya upinzani kuacha kusimamisha wagombea katika baadhi ya majibo hasa wanapoona hakuna uwezekano wa kushinda. Lakini inawezekana kwa mara ya kwanza tukashuhudia CCM ikikacha kusimamisha mgombea jimbo la Arusha Mjini hasa kama Bw Lema atapitishwa tena na CDM kutetea jimbo lake!

kuna thread humu inasema ccm wanaweza kutia timu na Makongoro Nyerere! Najua watachapwa tu, lakini napenda hilo game.
Hebu fikiria game ambalo nyerere wawili wa ukoo mmoja wakipambana vikali;
V.Nyerere kama kampeni meneja wa CDM na M.Nyerere kama mgombea CCM! uhondo mwanzo mwisho kama barca na madrid,hata kama unjua wazi madrid atachapwa.
 
Hata wao hawakutegemea kabisa maamuzi hayo ya JAJI kwa jinsi muenendo mzima wa kesi ulivyokuwa. Sio kwamba CCM wote ni hohehahe..hapana, wapo wazuri tena wazuri sana, bali wanashindwa kuthubutu tu!. Hiyo pia inaonyesha ni watu wachache sana ndani ya CCM waliokuwa wakijua itatoka hukumu ya namna gani. Ndio maana wapo kimya, hawawezi kushangilia wakati wanaona kabisa wanapakwa (mavi). Mods samahani kama neno hili ni kali na litakwaza wanajamvi, madhumuni ni kufikisha ujumbe bila kupindisha na kwa uzito wake.
 
ombi langu cdm wasijiamini kupita kiasi maana ccm kama ni uchaguzi watakuja na mbinu ambayo haikuwai tokea.hapo ni kuwa makini sana
 
Huu ni muda muafaka kujua uhuru wanaodai wanao mahakama (in this case mah. kuu)
Ni aibu, na pia hatari kubwa kama watatumika dhidi ya wananchi...
I mean, what is the logic behind all this?!!
For sure, none!! ukweli wanafuata maagizo ya chama tawala..
 
CCM hadi kufikia 2015 watajuta kumpa uongozi JK. Hii decision ya leo imepoteza maelfu ya wafuasi wao kwani wameona kabisa nchi imekosa muelekeo kwa mahakama kutumiwa kisiasa. Kizazi kipya hakiitaki CCM, wamebaki wazee na Arusha mjini hakuna wazee wa kutosha kuipa ushindi so hakuna cha wao kushangilia au kusherehekea. Mwisho wa ubaya ni aibu

Hii dhana kuwa wazee huipenda ccm isichukuliwe kijumlajumla tu. Umri wangu miaka 62 sijapigia kura CCM iwe rais, mbunge wala diwani; wote nilipigia wa CDM hapa jimboni Segerea pamoja na kwamba huyo diwani aliyegombea kupitia tiketi ya CDM wala simfahamu.
 
Maoni yangu binafsi: Arusha ni mji muhimu sana kwenye uchumi wa taifa hili... maoni yangu tangu mwanzo ni kwamba tusikubali tukubali kwamba wananchi wa Arusha walichemsha kumchagua Lema. Lakini hawakuwa na makosa hata kidogo kuchagua CHADEMA, historia inaonyesha hata mwaka 1995. Mrema na NCCR-Mageuzi yake walizoa kura nyingi... So Arusha ni ya wapinzani.

That is to say the candidate was not appropriate: Hivi Arusha ingekuwa na Mbunge kama Zitto, Mnyika, watu wanaongalia uchumi zaidi, Arusha ingeenda wapi sasa? Arusha ina fursa nyingi sana... lakini mwenzetu Lema aliishia kuwa-andamisha vijana kwenda viwanja vya unga limited.

CHADEMA you can do better, and now you have an opportunity to bring somebody who will fit that constituent that i would say " to be economical hub of Tanzania";
- Activate Tourism
- Bring more Airlines to KIA etc. etc.
 
Maoni yangu binafsi: Arusha ni mji muhimu sana kwenye uchumi wa taifa hili... maoni yangu tangu mwanzo ni kwamba tusikubali tukubali kwamba wananchi wa Arusha walichemsha kumchagua Lema. Lakini hawakuwa na makosa hata kidogo kuchagua CHADEMA, historia inaonyesha hata mwaka 1995. Mrema na NCCR-Mageuzi yake walizoa kura nyingi... So Arusha ni ya wapinzani.

That is to say the candidate was not appropriate: Hivi Arusha ingekuwa na Mbunge kama Zitto, Mnyika, watu wanaongalia uchumi zaidi, Arusha ingeenda wapi sasa? Arusha ina fursa nyingi sana... lakini mwenzetu Lema aliishia kuwa-andamisha vijana kwenda viwanja vya unga limited.

CHADEMA you can do better, and now you have an opportunity to bring somebody who will fit that constituent that i would say " to be economical hub of Tanzania";
- Activate Tourism
- Bring more Airlines to KIA etc. etc.

Tunataka kuboresha utalii kuanzia Ikulu.
Uchumi wa Arusha na Tanzania kwa ujumla umeharibiwa na sera mbovu na utawala mbovu wa Serikali ya Kikwete
 
Wakuu, nimejaribu kufuatilia viongozi wa CCM na wafuasi wa CCM kwenye mitandao. Lakini sijaona hata mmoja akionyesha kufurahia Ushindi wa Kesi dhidi ya aliyekuwa mbunge wa Arusha Mjini Ndugu Godbless Lema. Hii inaashiria nini kisiasa? Ama ndiyo wameshakata tamaa na siasa za Arusha? Au tunaweza kuuita ushindi huu "ushindi wa machungu..."

hawashangilii kwa kuwa haukuwa ushindi wa haki!
 
Mkuu this is very obvious,hivi msumali ukikuchoma makalioni utashangilia au utahuzunika?
 
Ama kweli hayawi hayawi hatimaye yamekuwa , rufaa ya Lema leo ni faraja kwa wanamageuzi wa kweli ! Nape sema neno moja tu halafu Watanzania unaowadanganya kuwa Dr. Slaa ana kadi ya CCM , wakusikie tena kuhusu Lema kuwa Mp. wa Arusha !! Big Up Lema !!
 
Back
Top Bottom