Kiufupi huu mkataba umetutia AIBU watanzania kimataifa yani Watz wote tunaonekana wapumbavu kwa sababu ya wapumbavu wachache wenye tamaa
Walimwengu wataanza hata kuitilia shaka TZ Law School na products wanazotoa Kisa tu baadhi ya WANASIASA MAPUMBAFFFF
Habari Tanesco
Nauliza hivi hii technology yenu ya kizamani ya kulipia umeme electronically alafu nipande kistuli nikaiweke kwa mita ukutani wengine wenye vile vicalculator muda huo hakina bettry mpaka ukanunue battry dukani uweke ndo kiwake uweze kuweka token
Huu uprimitive mtauacha lini...
Huyu jamaa kaudhihirisha zaidi uongo wake pale aliposema "hata kama akikosa hesabu ya kurejesha hana shida atatoa pembeni kwa hizo biashara zingine" nkaona mh huyu hamna kitu hapa,,, fix tu!!! Bajaj uingize lak6 kwa mwezi[emoji854]
BOQ nyingi nilizowahi kuona utakuta ni chache saaana tena za miradi mikuubwa ndo zinafacilitate haya mambo ya kutoa elimu ya afya na vipimo... Lakini miradi mingi midogo midogo hamnaga mambo hayo
Ikiandikwa kwenye bango la mradi inatosha
AKILI KICHWANI MTU WANGU[emoji3]
kwani nani hajui kama...
Mkuu labda jamaa yako akawa sahihi , chukua hii
mfano, umesema ni kampuni ya ujenzi
Tuassume hizi charges kasajili bila kutumia mtu; E.g
brela 512,000
Tra kupata Tin makadirio mpaka tax clearanc lets say kalipia 200,000
Then kupata leseni ya biashara amelipia ada 500,000
Then tunakuja kwenye...
Dogo wewe kichwani hamna kitu ama hio akili unayodhani bado unayo kumbe imeshakuacha imeondoka zake umebaki mwenyewe na mawazo yako mgando.
Tukiachana na siasa za mzee Kabudi unadhani kwa mawazo yako (sio akili yako maana akili huna) unadhani unaweza kuargue nae kuhusu jambo lolote lile kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.