Recent content by pweza dawa

  1. pweza dawa

    Hivi hakuna Mbadala wa DSTV? Yaani Pesa zote tunazolipa hakuna EFL Cup?

    Tupo wengi jamani! Hawa jamaa saa hizi no shida hakuna bundesliga hakuna ligue ya France hakuna ligi ya Italy wala ya ureno kwa kweli wamepoteza ubora sio kama zamani
  2. pweza dawa

    Kuchepuka raha

    Anakubana tu!
  3. pweza dawa

    Kuchepuka raha

    Tena uliyempata bado ajui kitu ungenipata mimi ungeomba talaka kabisa maana ungeona jamaa kama anajubana tu! Na Mimi ninavyopenda dezo!
  4. pweza dawa

    Je, ulijisikiaje siku ya kwanza ulipoijaribu bangi? Mwenzenu ilikuwa hivi...

    Nilipiga hiyo kitu na mshikaji wangu ndie alinifundisha! Basi kila tulipoona nyaya za Umeme tuliisi zipo jirani acha tuiname! Kufika gettto mziki ulikuwa mchiriku yaani uliingia ktk hisia sio mchezo!
  5. pweza dawa

    Huyu dada ni lijizi lililoshindikana

    Wanatumia tu picha zake kutapeli watu Huyo sio mwizi kabisa!
  6. pweza dawa

    Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

    Kwani nani kakuuliza unafanya Kazi wapi? C tunataka kujua zenyewe au la! Mbona utetezi mwingi!
  7. pweza dawa

    Elibariki Kingu: Kwa hili la RC wa Dar, naomba niwe wa kwanza kufukuzwa CCM

    Nasubiri kesho clouds 360 kama watatuwekea hiyo clips ya Bashite kuvamia Shilawadu
Back
Top Bottom