Tupo wengi jamani! Hawa jamaa saa hizi no shida hakuna bundesliga hakuna ligue ya France hakuna ligi ya Italy wala ya ureno kwa kweli wamepoteza ubora sio kama zamani
Nilipiga hiyo kitu na mshikaji wangu ndie alinifundisha! Basi kila tulipoona nyaya za Umeme tuliisi zipo jirani acha tuiname! Kufika gettto mziki ulikuwa mchiriku yaani uliingia ktk hisia sio mchezo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.