Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Wakuu DSTV imeshakua Kimeo na Nahitaji Kuhamia Sehemu nyingine hivi hakuna Mbadala wa Visimbuzi kwa Sisi Tunaependa Mpira?
Yaani Juzi tuu Nimelipia sh.109,000 Jana Nimetafuta Mpira kombe la EFL hamna Leo nimewapigia simu wanasema hawana rights.
Nahitaji Mbadala.
Yaani Juzi tuu Nimelipia sh.109,000 Jana Nimetafuta Mpira kombe la EFL hamna Leo nimewapigia simu wanasema hawana rights.
Nahitaji Mbadala.