Vita ya baharini ni ngumu sana ikiwa wewe unapigia bili kuwa na land base.
Hao US na UK wanapigana na Houthi kutokea wapi? Je, wana land base? Hawana, sasa unatarajia wataipigana vipi hiyo vita.
Ndio maana hata hii juzi hao US & UK walipoishambulia Yemen, walirusha mabomu tokea Mediteranea...
Mnataka awapambanie majitu majinga na mapumbavu?
Mbona wakati anapata mateso mlikuwa kimyaaa... mnafoka kwenye keyboards.
Mwacheni alambe asali taratiibuuu na kila mtu aangalie familia yake.
Sio kwamba ukishakuwa na CPA tu unaruhusiwa kufungua kampuni ya kukagua au kufanya mahesabu (Auditing Firm).
Ukiwa na CPA maana yake ni kwamba wewe ume graduate kuwa mhasibu. Ishu ya kuwa na muhuri ni ishu nyingine kabisa.
Kwa namna mambo yalipofika sasa hivi, Ukraine anatakiwa amuombe msamaha Russia, ajutie makosa yake, ahaidi kutorudia tena na atekeleze matakwa ya Russia.
Ukraine liwe taifa neutral na maisha yarudi normal.
Mnaleta mashindano ya kana kwamba tupo Form 1 na tunashindana nani anakuwa wa kwanza kwenye mitihani.
Nilishauri humu kwamba tuwe na group la WhatsApp na tuchambue (tu analyse) matches na tuweke hela. Lakini watu wakaishia kuleta maneno ya shombo.
Huwezi kuweka train la matches 55 na ukaweka...
Hii ilikuwaga zamani sana enzi hizo za utawala wa kifalme.
Mfalme ni lazima na yeye awe frontline apigane hiyo vita. Na kama vipi, anaweza kuuawa huko vitani.
Lakini sasa mambo yamebadilika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.