Recent content by punzumagulu

  1. punzumagulu

    Kwanini wadada Tanga huwa ni wakarimu sana na wenye maneno laini kwa mwanaume?

    Tanga tangamani, ushemeji ndo maana natamani kurudi TA Tena
  2. punzumagulu

    Ewe Mwanaume ukiliona hili kwa Mpenzi wako jua umefanikiwa au hujafanikiwa kumfikisha Uhuru peak

    Mkuu, ngoja tu waeleze wenyewe wanaridhika na makombora yetu ya masafa ya Kati au ya mbali au wanataka MOB
  3. punzumagulu

    Tetesi: Sheikh Othman Maalim afukuzwa Zanzibar

    Akwende Zake, ndoto Zake Hazina tija
  4. punzumagulu

    Ni zawadi gani nzuri uliwahi kuipata kutoka kwa mwandani wako?

    Bukta, sandles, kofia, nauli ya likizo
  5. punzumagulu

    Maandamano kumuunga mkono Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu

    Halafu iweje, itifaki ya nchi imetamka no, hata azimio la arusha, kambona alikimbia nchi, usilete uchonganishi, mama Samia alitoa maoni yake haikuwa agizo au sheria
  6. punzumagulu

    Dalili za Mwanaume Bwabwa ni hizi hapa

    Ulishajenga nyumba yako kamanda? UNAWAJUWAJE
  7. punzumagulu

    Unapoambiwa Julius Kambarage Nyerere ni baba wa taifa la Tanzania uwe unaelewa

    Msisahau kuwa naye ni binadamu, wewe na ubongo wako mdogo, umefanya mangapi ukumbukwe shule uliyosoma?
  8. punzumagulu

    Nna 3M Now Nahitaji Gari ya hadi 5M, Nilipe kwa Awamu

    Lete mpunga huo, premio 2
  9. punzumagulu

    Watoto wa jirani niwafanyaje?

    Wajengee Choo yao ili wasije kwako
  10. punzumagulu

    Magufuli wewe ni mzazi unayejitambua

    Mwendo mdundo, kupata mimba shuleni ni kosa, miaka 50 ya tawala zote hazikuruhusu jambo hili, JPM anslaumiwa kwa lipi? Macho kodoeni ndo kakazia
  11. punzumagulu

    Hujawahi kufika kileleni halafu unajisifia umefanya mapenzi

    Ngonongino inawanogea Sana mungu anawahesabia siku zenu, kudadadeki
  12. punzumagulu

    Picha ya Leoooo!

    Hili ilikuwa 2014
  13. punzumagulu

    Hivi Rais wetu akiachia ngazi leo, tunaweza kumshitaki kwa kosa lipi tangu aingie madarakani?

    Wewe Nani kakushitaki kwa mwenyekiti wa kijiji,
  14. punzumagulu

    Kibongobongo ajali ni fursa. Ona hapa wabongo wanachofanya baada ya ajali kutokea Iyovi leo

    Wakome, tatizo si Hali ngumu ya sasa ila tabia hii tumeshuhudia awamu zote za tawala za mama Tanzania
Back
Top Bottom