kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 20,256
- 13,263
Kwani we ni wa chatu enter village airport?Hizi ndio hoja za bavicha sasa, sishangai madiwani kuwakimbia!!
Kwani we ni wa chatu enter village airport?Hizi ndio hoja za bavicha sasa, sishangai madiwani kuwakimbia!!
Huyo mzee kwenye kupigilia pamba huwa hakosei![]()
Kuna watu na viwatuHuyo mzee kwenye kupigilia pamba huwa hakosei![]()
Suti ya namna hii huwezi kuikuta kwenye maduka ya chator. Na ukiikuta bahati mbaya lazima iwe oversize.
Ha ha ha.. nngekua na mamlaka nngemwajibisha aliemwandalia hyo kanzuHuyo mzee kwenye kupigilia pamba huwa hakosei![]()
Alafu mbona kama mwingine kazeeka kabla ya muda?.. Jaman tuache kuishi kwa visasi hata sura iwe na nuru
Hahaha
Huyu jamaa hiyo kanzu imemwonea saana aseehAlafu mbona kama mwingine kazeeka kabla ya muda?.. Jaman tuache kuishi kwa visasi hata sura iwe na nuru
Haki ya nani anayemvalishaga mavazi mkulu hana nia njema
Hahahaha mkoromije ktk ubora wakeHuyo mzee kwenye kupigilia pamba huwa hakosei![]()
Hahaha
Hahahaha huyo mshamba sana alikuja mjini na mbio za mwengehqhaahahhahahaha jaman hapa imebidi niangue cheko hahahahhaa kuna watu ahwana damu ya nguo jaman jamn hahahahha VIVA LOWASAAAAAAAAA! huyo mwingne angalia mikonon ilivyomkaa ahahahhah! na 1 fan
Wife wake sijui hakumkagua wakati anatokaHahahaha mkoromije ktk ubora wake


Huyo mzee kwenye kupigilia pamba huwa hakosei![]()










ukipiga matonge matano mfululizo hatari sana